Ukandamizaji wa matumizi ya vitu vya asili na wakoloni

Jun 26, 2015
55
61
Kabla ya mkoloni, kila kitu kilicho juu ya ardhi na chini ya ardhi kilikua kinatumika bila woga wala kificho.

Alipokuja mkoloni akavikataza, kwasababu.: Aliviitaji kwa kazi zake za viwandani huko kwao.

Sababu nyingne ni vitu hivi vilikua vikitumiwa na waafrika katika mambo mengi kama dawa za matatizo ya kimwili na Kiroho.

Kwakua mkoloni hakutaka kabisa, tuwe kama tulivyo katika nyanja zote za kijamii. Ikiwemo utabibu wa Kiroho na kimwili. Basi akaweka sheria ya kuviwekea vizuizi.

Kuna nguvu kubwa katika meno ya tembo, ngozi za chui simba punda mlia, miba ya nungu nungu, mawe ya thamani kama dhahabu.

Lkin vyote hvi ukakatazwa kuvimiliki na kuvitumia.

Labda mkoloni alitaka kutupora nguvu zetu za asili...kwa kututenganisha na asili. Lakini pia labda na yeye aliona nguvu iliopo ndan ya vitu hivyo, ndio maana akataka avimiliki yeye tu.
 
Kwa hiyo unataka uruhusiwe kuanza kuua wanyama kwa ajili ya imani zako za kifala ambazo ukiulizwa hiyo ngozi ya chui inaleta nini ukilinganisha chui akibaki hai na kulipiwa na watalii.
SISI HATUNA AKILI (WAAFRICA) HIVYO WACHA TUSIKILIZE WENYE AKILI(WAZUNGU)
 
Kwa hiyo unataka uruhusiwe kuanza kuua
Hivyo ndio vitu tulivyopewa watu kwaajili ya kutusaidia kusurvive. Kabla miaka ya giza haijaingia.

Ila for now it's hard to go back in those days. Na ndio tunaendelea kulalamika kuhusu matatizo mbalimbali ya kiafya na kiroho. Huku tukiendelea kua comfortable na luxuries za mkoloni.
wanyama kwa ajili ya imani zako za kifala ambazo ukiulizwa hiyo ngozi ya chui inaleta nini ukilinganisha chui akibaki hai na kulipiwa na watalii.
Ngozi za wanyama ni dawa na Tiba, kubwa ya mambo mbalimbali ya kimwili na kiroho. Watalii wanakuja kuziona wanalipa tu hela.
SISI HATUNA AKILI (WAAFRICA) HIVYO WACHA TUSIKILIZE WENYE AKILI(WAZUNGU)
wewe akili unazo, ila ni mjinga.
 
Back
Top Bottom