Wazee wenzangu wa kufunga madishi mnapataje michongo hapa mjini dar es salam.
Njaa imekuwa kali kwangu tangu nimefika mjini hii fani sijafanikiwa kuifanyia kazi.
Kwa wataalamu wanaopajua Mbeya vizuri tupeana ripoti kuhusu makazi.
Nahitaji nipate room yenye gharama ya chini ya elfu 30 na nikalipa mwezi na kujipanga.
Nachokisikia Mbeya maisha ni marahisi nahitaji kwenda kujaribu huko.
Siku ya leo palikucha sina ramani na sielewi natoboaje, nikaona ngoja nizame viwandani.
Nikapiga moja moja mpaka ubungo garage kiwanda cha sabuni cha mo nikakuta raia kiasi nikasubiri nje, watu wakaanza kuchaguliwa wale wakongwe na wapya wachache, tuliobaki tukakosa.
Nikona fresh sio zali...
Baada ya kutimiza huu umri nimejikuta natamka maneno magumu sana education is a lottery ticket not a safe investment.
Nimetafuta kazi nimekosa, nimefanya biashara nimefilisika.
So nilichobakiza ni kuwalamba wana mizinga ya ten tu ili niishi.
Iko hivi,hili shangazi langu limenipeleza miaka 13. Tangu nianze kulipelekea Moto NI miaka takribani miwili.juzi Kati limenipanga Lina mimba,nikamuuliza tunafanyaje akajibu ngoja nitafute lichomoe sababu hataki kuzaa.ingekuwa mwanafunzi hapa kiwewe nawaza mwaga Moto so watoto wadogo...
Kama kichwa kinavyojielezea, mwakani Mungu akijalia nitatimiza miaka 27(full-adult man). Ila itakubidi unielewe kama nilivyo mfukoni naunga unga tu maisha pamoja na kujaaliwa kadegree kutoka kile chuo cha taifa kwa sifa.
Nimekaa kama mwaka na miezi kadhaa baada ya kugegeda binti mmoja mtaani hapa, tatizo la huyu binti ana kashfa ana ngoma ila nilipiga hvyo hivyo tena kavu kavu, nataka nikavunje ukimya kesho.
Sehemu gani ambayo ipo vizuri kwa vipimo?
HESHIMA PESA, NDEVU HATA MBUZI ANAZO.
Sio nia yangu kuponda au kusolola mtu kumdogofisha au kufanya ajiskie mnyonge. Ila haya mambo tusipoyasikia toka kwenye vinywa vya watumishi wa Mungu haitaleta uzito.
Kuna wanaume wengi ambao sasa inabidi kusema bila kuficha kuwa wanatia aibu. Hakuna kitu...
LADIES ONLY. (INAHUSU WANAWAKE)
Najua sio wote mtapenda ninachoandika leo lakini kwa watakao fanyia kazi haya itakuwa msaada kwao na punde mtanipigia simu na kunijia inbox kushukuru kwa ujumbe huu.
Nimekuwa nikipokea simu nyingi na message za wanawake kutoka kila kona Mijini na vijijini ambapo...
maisha ya chuo nasupport ndogo ya mzazi,nyakati zimekuwa ngumu sana nimeamua kuachana na chuo rasmi, inaumiza lakini hakuna jinsi siwezi fahamu kipi kitatoke baada ya hapa cha msingi kuendelea kupigana, as they say life begin after school.namimi naanza maisha ya mtaa rasmi. bye bye udsm.
nimechaguliwa UDOM mwaka huu nimepewa na mkopo ila coz sijaipenda nimeshafanya na usaili nimelipa na baadh ya fees niliyohitaji kuchangia ila nataka niachane na chuo je mwakani application itakubali ? na mkopo nitapata?
nimechaguliwa UDOM nimeshafanya na usajili nimelipa na kiasi nachohtaji kuchangia ila nataka niachane na chuo nifanye application tena mwakani je inawezekana? mkopo naweza pewa kwa mara ya pili?
nimechaguliwa UDOM nimeshafanya na usajili nimelipa na kiasi nachohtaji kuchangia ila nataka niachane na chuo mwakani je inawezekana? mkopo naweza pewa kwa mara ya pili?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.