Leo nimetimiza miaka 30, sijawahi miliki hata Godoro

Bado una nafasi ya kupambana na kufanikisha baadhi ya malengo...Kwenye maisha kuna wakati unaweza usione mbele yako itakuaje hata kama utatumia microscope kutazama

Nyakati kama hizo zisizime ndoto zako bali ziwe za kukujenga na kukupa darasa jinsi gani maisha yalivyo...itakusaidia kama funzo huko mbeleni ..kuna wengine tuna vitanda pamoja na familia lakini hatuna uwezo wa kusurvive kila siku ila kwa sababu maisha hayana fomula tunakaza kimtindo maisha yanaendelea

Bado una nafasi kijana pambana mpaka Point ya mwisho
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom