Ikumbukwe kuwa taarifa ya Serikali kuagiza madaktari kutoka nje imekuja huku Jumuia ya Madaktari Nchini wakiwa wameitisha mgomo wa madaktari nchi nzima unaoingia siku ya kumi sasa ili kuishinikiza Serikali kuboresha maslai ya madaktari hao na kuboresha mazingira ya utoaji huduma za afya hapa...
Binafsi ni daktari kwa taaluma, na nimepata kufanya kazi katika hospitali za erikali kabla sijaachana na kutibu moja kwa moja na kujiunga na masuala ya afya ya jamii/public health. Sababu zilizonifanya kuondoka ni kudharauliwa, kupuuzwa na kunyimwa stahili zangu (simaanishi mshahara, ila ni zile...
Nimesikitishwa sana na habari iliyochapishwa na gazeti la Ijumaa wikienda (Global publishers) inayohusu watotot walioenda mahakamani kumlilia mtoto wao ambaye ni mtuhumiwa wa biashara ya ukahaba. Kitendo cha kuwapiga picha, kuwataja majina na wanapoishi na kusoma si dhani kama ni sahihi. Watoto...
Kwa mujibu wa ripoti ya survey iliyofanywa na National Bureau of statistics; Mikoa ya Tabora na Dodoma ndio inayoongoza kwa kuwa na asilimia kubwa ya wakazi wake kamwe hawajawahi kufika shuleni (na kuelimika)
"....the highest proportion of the population who have never been to school is...
Hapiness katabazi, mwandishi wa gazeti la Tanzania Daima; siku ya jumatatu aliandika makala yeye kichwa cha habari Ni Mgomo wa madaktari kweli. Nimeinakili makala hiyo hapa na nimeweka maswali (rangi nyekundu)yangu kadhaa nikimpa changamoto ayajibu. Lengo langu ni kumtaka aisome tena kwa makini...
Ramadhan Semtawa
KATIKA hali ambayo si ya kawaida, Zainab Kaswaka aliyekuwa anasafiri kwa ndege kutoka jijini Dar es Salaam kwenda London, amekutwa na bastola kwenye ndege ya Shirika la Emirates na kuzua tafrani kubwa kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere. Habari...
Dogo kafunguka! msikiliza hapo chini, ......Kwa hisani ya wavuti
My favourite part, mgao wa haki mahakamani tayari umeshaingia
Wimbo uliokataliwa redioni: Miaka 50 ya Uhuru - Wavuti
..Kesi ya Mwandishi wa habari Jerry Muro hatimaye imefikia mwisho leo kwa yeye na watuhumiwa wenzake wawili kuachiwa huru. Pamoja naye, washitakiwa wengine walikuwa ni Edmund Kapama na Deogratius Mgasa. Nadhani wengi tungependa kuwafahamu hawa ni akina nani, na kivipi walihusishwa na Jerry...
Makala hii imetoka katika gazeti Raia mwema
Msomaji Raia
WIKI iliyopita, Mzee Samuel Sitta ambaye ni Mbunge wa Urambo na Waziri katika serikali yetu, aliongea kupitia televisheni ya ITV kuhusiana na masuala mbalimbali ya kisiasa katika taifa letu. Mzee Sitta ndiye alikuwa Spika wa Bunge...
..Sikuwepo uwanjani lakini taarifa za vyombo vy habari zinaeleza kuwa Sunzu alikuwa mchumba kwa kwa Nadir Haroub. waliokuwepo uwanjani hebu tupeni story......
Felix Mwagara na Mashirika
RAIS wa zamani wa Cape Verde, Pedro Verona Pires, ameshinda Tuzo ya Mo Ibrahim ya utawala bora barani Afrika.Tuzo hiyo ya Mo Ibrahim ni moja ya tuzo yenye thamani kubwa duniani ambayo inatolewa na bilionea wa Sudan kwa mtu binafsi barani Afrika anayefikia viwango vya...
Frederick Katulanda, Geita na Daniel Mjema, Igunga
MJUMBE wa Baraza Kuu la Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), Hussein Bashe, ameonya kuwa iwapo CCM hakitajadili matatizo ya wananchi sasa, kitarajie kupoteza dola mwaka 2015, kama ilivyotokea kwa chama tawala Zambia.
Akizungumza...
Ndugu wa JF,
Kwa muda sasa rais JK amekuwa akiandamwa na shtutma j=kadhaa kuhus maamuzi anayoyafanya au kushindwa kuyafanya. Ninavyotambua, marais huwa na washauri wao na hawa huwa ni watu muhimu sana na mara nyingi kwa rais makini na msikivu wanmchnago mkubwa katika mustakabali wa nchi. JK...
Hii ilikuwa ni mwezi wa April, 2011
Hapo chini ndivyo walivyomuelezea,
MF Nizar Khalfan (Vancouver Whitecaps): They dont come more dynamic than the Tanzanian, who has the pace to be dangerous from anywhere on the field and the stamina to cover more ground than any of his teammates, no matter...
Mrisho Ngassa the only trialist to play vs. Manchester UnitedPosted by Joshua Mayers
There were a handful of new faces at Sounders FC training today, including Federal Way native Kelyn Rowe, who plays collegiately at UCLA.
With Wednesday's friendly looming, I asked coach Sigi Schmid if any...
Mimi ni mpenzi mkubwa wa lugha mbalimbali za kibantu. Zaidi navutiwa na matamshi ya maneno; mfano lafudhi za wahehe na wabena wa iringa, wakurya na wajaluo, wachagga, wahaya na wasukuma. Majina ya makabila mengi huwa yanabeba maana kubwa sana, hebu kwa wanofahamu tuweke hapa majina mbalimbali na...
Previously:
Sihoji kwanini/amewezaje kuwa Mbunge kwa kuwa elimu sio kigezo cha mtu kuchaguliwa/kuteuliwa kuwa Mbunge. Maswali yangu ni haya hapa chini?
1. Engineers ambao ni members hapa JF nisaidieni, kwa utaratibu wa taaluma yenu ni mtu mwenye qualifications zipi anaitwa Engineer (Eng).
2...
Natafuta nyumba ya kupanga iwe maeneo ya sinza, Mikocheni au Kijitonyama. Iwe ya vyumba vitatu (au hata viwili), Sitting room, dining room, jiko na stoo. Iwe na choo na bafu ndani. Iwe inaeza kufikika kwa gari na iwe na uzio (wa aina yeyote, Ukuta, michongoma au seng'enge) na Geti. Budget yangu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.