Natafuta nyumba ya kupanga

Kizimkazimkuu

JF-Expert Member
Nov 8, 2007
337
234
Natafuta nyumba ya kupanga iwe maeneo ya sinza, Mikocheni au Kijitonyama. Iwe ya vyumba vitatu (au hata viwili), Sitting room, dining room, jiko na stoo. Iwe na choo na bafu ndani. Iwe inaeza kufikika kwa gari na iwe na uzio (wa aina yeyote, Ukuta, michongoma au seng'enge) na Geti. Budget yangu maximum laki 3 kwa mwezi; terms of payment flexible. mwenye taarifa anaeza kuni PM, but please ningependa kudili na mwenye nyumba sio middleman/dalali
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom