Kizimkazimkuu
JF-Expert Member
- Nov 8, 2007
- 337
- 234
Mimi ni mpenzi mkubwa wa lugha mbalimbali za kibantu. Zaidi navutiwa na matamshi ya maneno; mfano lafudhi za wahehe na wabena wa iringa, wakurya na wajaluo, wachagga, wahaya na wasukuma. Majina ya makabila mengi huwa yanabeba maana kubwa sana, hebu kwa wanofahamu tuweke hapa majina mbalimbali na maana zake. Nimeanza hapo chini na mikoa yanapotokea kwenye mabano;
- Manumbu (Mara)- Viazi
- Mkunde/ Kunda (Kilimanjaro)- Mpendwa/mpenzi
- Mushaija (Kagera) - Mvulana
- Nyanda (Mwanza)- mvulana
- Bhoke (Mara) - Asali
- Kapufila (Rukwa) ? ---------
- Mkatomboka ? ------------
- Ntogwisangu (Mwanza) ? -----------
- Ngundilira (Mbeya) ? ------------