Majina ya Kibantu maana zake...

Kizimkazimkuu

JF-Expert Member
Nov 8, 2007
337
234
Mimi ni mpenzi mkubwa wa lugha mbalimbali za kibantu. Zaidi navutiwa na matamshi ya maneno; mfano lafudhi za wahehe na wabena wa iringa, wakurya na wajaluo, wachagga, wahaya na wasukuma. Majina ya makabila mengi huwa yanabeba maana kubwa sana, hebu kwa wanofahamu tuweke hapa majina mbalimbali na maana zake. Nimeanza hapo chini na mikoa yanapotokea kwenye mabano;
  1. Manumbu (Mara)- Viazi
  2. Mkunde/ Kunda (Kilimanjaro)- Mpendwa/mpenzi
  3. Mushaija (Kagera) - Mvulana
  4. Nyanda (Mwanza)- mvulana
  5. Bhoke (Mara) - Asali
haya hapa chini nitafurahi sana kujua maana zake
  1. Kapufila (Rukwa) ? ---------
  2. Mkatomboka ? ------------
  3. Ntogwisangu (Mwanza) ? -----------
  4. Ngundilira (Mbeya) ? ------------
 
Mimi ni mpenzi mkubwa wa lugha mbalimbali za kibantu. Zaidi navutiwa na matamshi ya maneno; mfano lafudhi za wahehe na wabena wa iringa, wakurya na wajaluo, wachagga, wahaya na wasukuma. Majina ya makabila mengi huwa yanabeba maana kubwa sana, hebu kwa wanofahamu tuweke hapa majina mbalimbali na maana zake. Nimeanza hapo chini na mikoa yanapotokea kwenye mabano;
  1. Manumbu (Mara)- Viazi
  2. Mkunde/ Kunda (Kilimanjaro)- Mpendwa/mpenzi
  3. Mushaija (Kagera) - Mvulana
  4. Nyanda (Mwanza)- mvulana
  5. Bhoke (Mara) - Asali
haya hapa chini nitafurahi sana kujua maana zake
  1. Kapufila (Rukwa) ? ---------
  2. Mkatomboka ? ------------
  3. Ntogwisangu (Mwanza) ? -----------
  4. Ngundilira (Mbeya) ? ------------

5.Nkundukuwaka(Mtwara)?.......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom