Search results

  1. Mzururaji

    "Mama anaupiga Mwingi" Hivi bado inasikika

    Baada ya kufariki mzee Magufuri na kupokewa na makamu wake Sasha uliibuka msemo maalufu wa mama anaupiga mwingi sana kama kuonesha dharau na kebehi kwa hayati Magufuli baada ya tozo za simu na kodi ya mafuta hatusikii tena habari za mama anaupiga mwingi sana shida nini Wapinzani wa nchi hii ni...
  2. Mzururaji

    Rais Magufuli muongeze RC Makonda aongoze mapambano ya Covid-19

    Pole na majukukumu hapo Chato, Mheshimiwa Rais wangu. Baada ya kuwaza sana juu ya kuongezeka kwa idadi ya wagonjwa corona naomba nikuombe bomoa zile kamati muweke RC Makonda aongoze mapambano kwa sababu zangu ninazoziona. Kwanza Makonda akili imesha mkaa sawa sasa hivi naona ameamua kuongoza...
  3. Mzururaji

    Sijamlaumu Mtu na wala Sitaki kumlaumu MTU kuna eneo tumekwama kama nchi

    Salam!! Ukiambiwa Dr Salim Ahmed Salim aliteuliwa balozi nchini Misri akiwa na miaka 22 halafu ukalinganisha na vijana wetu wa leo wenye elimu na umri huo utaona km vile tunarudi nyuma badala kwenda mbele... Na ukiambiwa miaka ya 70 hadi 90 nchi yetu ilikuwa na vyama vya ushirika kila mko...
  4. Mzururaji

    CCM ilejee kwenye misingi yake CHAMA CHA WAKULIMA NA WAFANYA KAZI

    wakati tuna elekea maazimisho ya siku ya wafanya kazi duniani wafanyakai wa tanzania wamekuwa wanyonge bila mtetezi hasa kutokana na kunyimwa kwa stahiki zao ambazo zingine ipo kisheria haki hizo zimepokwa ama zimekandamizwa kwa makusudi na serikali ya awamu ya tano haki kama ya kupanda...
  5. Mzururaji

    Barua ya mnyonge Kwa Mhe, Rais

    Mhe rais natumaini kiafya mzima kabisa unaendelea vizuri kutimiza majukum yako ya kusaidia taifa hili Kwanza naomba nikupe pole zangu za dhati kwa msiba ambao umewakumba ndugu raia wako ambao ni ndugu zetu kutoka Bukoba, pia Pole kwa majukumu mzito Mhe, rais ya ujenz Wa taifa hili ambalo bado...
  6. Mzururaji

    Hii imekaaje kupatwa kwa jua kuwa Njombe dunia nzima?

    Hii imekaaje dunia nzima kupatwa kwa jua kuonekane njombe tuuu Ina maana dunia nzima inatokea Tanzania tu tena njombe peke yake? Je Tanzania nzima jua si hili hili moja kwa nini likipatwa lisionekane kote au kote kuwe Giza Naomba tusaidiane wadau mana naona hii kama fursa kwa Tanzania yetu...
  7. Mzururaji

    Waumini tuna cha kujifunza hapa

    Jana zilisambaa picha kwenye social media ambazo zilimwonesha Mhe, lowasa akiwa na viongozi wa serikali na chama cha mapinduzi akiwepo Mhe, rais na Katibu Mkuu wa CCM. Picha ilipigwa kanisan huku viongozi hao wakionesha furaha ya waziwazi akiwepo mama Regina LOWASA, mbali ya kuwa tunajua wana...
  8. Mzururaji

    Operation UKUTA dalili za mapinduzi?

    Wakat CHADEMA wakiendelea na maandalizi yao ya operation UKUTA ambapo wamepanga kuzunguka nchi nzima kwa kufanya mikutano mimi kwa upande wangu naona sasa hizi ni dalili za jaribio la wazi la mapinduzi kwa serikali inayoongozwa na Mhe, JPM. Bara la afrika na nchi nyinginezo duniani tulizoea...
  9. Mzururaji

    Upo sahihi rais wangu lakini uharaka wa nini?

    UPO SAHIHI RAIS WANGU, LAKINI UHARAKA WA NINI? _Na Mzururaji wa Gairo Morogoro_ Domo la bibi kizee hudaiwa hunuka lakini mate yake hutibu baadhi ya magonjwa kijijini kwetu!!Sahau ubaya wa baniani na tuanze sasa kutambua umuhimu wa viatu vyake. Hakuna shaka kuhusu ubabe wa rais wetu wa awamu...
  10. Mzururaji

    # Nawaza kijinga na mawzo ya kijinga.

    Nawaza kijinga katika ubora wa ujinga wangu! Mimi si nabii ila nahisi neno MAKONDA litaingia katika orodha ya misamiati mipya ya Kiswahili japo mpaka sasa sijui wanazuoni wa kitaa watalipa neno hilo maana ipi. Hili li dhahiri sasa na linatiwa nakshi na historia ya baadhi ya misamiati...
  11. Mzururaji

    Revealed: Upinzani kugomea kujadili hotuba ya rais

    Wapinzani wamegomea kuingia bungeni kwa na kujadili hotuba ya rais sababu hawana cha kujadili sababu siku ya hotuba hawakuwepo hivyo hawana cha kujadili. Tuwaombe wabunge wa upinzani tulieni wengine wajadili ambao walimsikiliza rais.Kama mmepata sababu ya TBC na hoja ya serikali kubana matumizi...
  12. Mzururaji

    Serikali ya ccm yafungua sekondari isio na maabara kimya kimya

    Serikali ya ccm wilayani kilosa imefungua kinyemela sekondari ambayo haina maabala, nyumba za walimu wala miundo mbinu ya kutosha kwa majengo hayo kuitwa shule. Awali serikali ilitoa tamko la kuto kusajili shule mpya za serikali kwani mkakati ulio kuwepo ni kuboresha shule za kata zilizopo kwa...
  13. Mzururaji

    Wana Yanga njooni tujadili

    Dirisha dogo la usajili linafungwa leo saa 5: 59 mpaka sasa yanga ina wachezaji sita wa kigen ambao ni jaja,continho, niyonzima, kihiza,okwi, na mbuyu twite na sheria inataka wachezaji watano wa kigeni sasa maxmo atamkata nani? Kumbuka akimkata okwi ndo simba washa mchukua na hela imeenda wakati...
  14. Mzururaji

    Ccm washindwa kugawa zawadi ligi ya mbunge gairo

    Chama cha mapinduzi kimeshindwa kugawa zawadi wakati wa fainal hapa gairo na kusababisha fainal kushindwa kufanyika kwan vijana waligoma kucheza bila zawadi ambazo walihaidiwa zawad hizo ni jezi na mpira kwa mshind wa kwanza
  15. Mzururaji

    Tusaidiane kujibu swali!!!

    Nimekua nikifuatilia wimbi la wahamiaji haramu kutoka Tanzania najiuliza kwenye sensa ya mwaka jana hawa watu si walihesabiwa kama walihesabiwa je kama wameondoka watanzania tupo pungufu au idad ipoje
  16. Mzururaji

    Msaada jamani

    Wanabodi! Kuna post humu nimepekua mpaka macho yamekua mekundu post yenyewe inazungumzia aina ya mavazi bint anaweza vaa kwenda ukweni naomba mwenye link ya hiyo aniwekee wadau
  17. Mzururaji

    Waungwana nisaidieni

    Mke wangu anataka kwenda ukwen kibaya nguo za vitenge nipen msaada aina za mishono ya kisasa
  18. Mzururaji

    Maswali magumu kwetu wenye majibu wapo busy

    "TUKUMBUSHANE" Hivi Gazeti la Mwanahalisi liko wap? Naye Dr.ulimboka amehamia nchi gan? Hv mgomo wa walimu lin? Na mafisadi wa EPA watanyongwa lin? Hivi unakumbuka mbunge analipwa posho kiasi gani kwa siku? Unakumbuka bunge liliamuru bwn jairo na philimon Luhanjo wafukuzwe kazi iliishia wap...
  19. Mzururaji

    Hii mitoto iliyopo!!

    Ticha: how old is your father? son: as old as i am teacher: how it is possible? Son: yes it is possible because he become father only after i was born @@@@@@@@@ Baba: mwanangu nikuulize swali mtoto:uliza baba baba: assume unafukuzwa na simba mara ukaona mti ukaamua kuuparamia gafla...
  20. Mzururaji

    Nimeshindwa kuvumilia

    Habari wana bodi naomba kuuliza kama kuna sheria yoyote ambayo ninaweza kumshitaki huyu mama diwan aliyefukuzwa kutoka chadema na kujiunga na ccm na kusudia kumshitaki sio kwa sababu kutoa siri ya kutongwozwa la hasha! Nakusudia kumshitaki kwa msongo wa mawazo alitusabishia sisi wazaz ambao...
Back
Top Bottom