Baada ya kufariki mzee Magufuri na kupokewa na makamu wake Sasha uliibuka msemo maalufu wa mama anaupiga mwingi sana kama kuonesha dharau na kebehi kwa hayati Magufuli baada ya tozo za simu na kodi ya mafuta hatusikii tena habari za mama anaupiga mwingi sana shida nini
Wapinzani wa nchi hii ni...
Pole na majukukumu hapo Chato, Mheshimiwa Rais wangu.
Baada ya kuwaza sana juu ya kuongezeka kwa idadi ya wagonjwa corona naomba nikuombe bomoa zile kamati muweke RC Makonda aongoze mapambano kwa sababu zangu ninazoziona.
Kwanza Makonda akili imesha mkaa sawa sasa hivi naona ameamua kuongoza...
Salam!!
Ukiambiwa Dr Salim Ahmed Salim aliteuliwa balozi nchini Misri akiwa na miaka 22 halafu ukalinganisha na vijana wetu wa leo wenye elimu na umri huo utaona km vile tunarudi nyuma badala kwenda mbele...
Na ukiambiwa miaka ya 70 hadi 90 nchi yetu ilikuwa na vyama vya ushirika kila mko...
wakati tuna elekea maazimisho ya siku ya wafanya kazi duniani wafanyakai wa tanzania wamekuwa wanyonge bila mtetezi hasa kutokana na kunyimwa kwa stahiki zao ambazo zingine ipo kisheria haki hizo zimepokwa ama zimekandamizwa kwa makusudi na serikali ya awamu ya tano
haki kama ya kupanda...
Mhe rais natumaini kiafya mzima kabisa unaendelea vizuri kutimiza majukum yako ya kusaidia taifa hili Kwanza naomba nikupe pole zangu za dhati kwa msiba ambao umewakumba ndugu raia wako ambao ni ndugu zetu kutoka Bukoba, pia Pole kwa majukumu mzito Mhe, rais ya ujenz Wa taifa hili ambalo bado...
Hii imekaaje dunia nzima kupatwa kwa jua kuonekane njombe tuuu
Ina maana dunia nzima inatokea Tanzania tu tena njombe peke yake?
Je Tanzania nzima jua si hili hili moja kwa nini likipatwa lisionekane kote au kote kuwe Giza
Naomba tusaidiane wadau mana naona hii kama fursa kwa Tanzania yetu...
Jana zilisambaa picha kwenye social media ambazo zilimwonesha Mhe, lowasa akiwa na viongozi wa serikali na chama cha mapinduzi akiwepo Mhe, rais na Katibu Mkuu wa CCM. Picha ilipigwa kanisan huku viongozi hao wakionesha furaha ya waziwazi akiwepo mama Regina LOWASA,
mbali ya kuwa tunajua wana...
Wakat CHADEMA wakiendelea na maandalizi yao ya operation UKUTA ambapo wamepanga kuzunguka nchi nzima kwa kufanya mikutano mimi kwa upande wangu naona sasa hizi ni dalili za jaribio la wazi la mapinduzi kwa serikali inayoongozwa na Mhe, JPM.
Bara la afrika na nchi nyinginezo duniani tulizoea...
UPO SAHIHI RAIS WANGU, LAKINI UHARAKA WA NINI?
_Na Mzururaji wa Gairo Morogoro_
Domo la bibi kizee hudaiwa hunuka lakini mate yake hutibu baadhi ya magonjwa kijijini kwetu!!Sahau ubaya wa baniani na tuanze sasa kutambua umuhimu wa viatu vyake.
Hakuna shaka kuhusu ubabe wa rais wetu wa awamu...
Nawaza kijinga katika ubora wa ujinga wangu!
Mimi si nabii ila nahisi neno MAKONDA litaingia katika orodha ya misamiati mipya ya Kiswahili japo mpaka sasa sijui wanazuoni wa kitaa watalipa neno hilo maana ipi.
Hili li dhahiri sasa na linatiwa nakshi na historia ya baadhi ya misamiati...
Wapinzani wamegomea kuingia bungeni kwa na kujadili hotuba ya rais sababu hawana cha kujadili sababu siku ya hotuba hawakuwepo hivyo hawana cha kujadili.
Tuwaombe wabunge wa upinzani tulieni wengine wajadili ambao walimsikiliza rais.Kama mmepata sababu ya TBC na hoja ya serikali kubana matumizi...
Serikali ya ccm wilayani kilosa imefungua kinyemela sekondari ambayo haina maabala, nyumba za walimu wala miundo mbinu ya kutosha kwa majengo hayo kuitwa shule.
Awali serikali ilitoa tamko la kuto kusajili shule mpya za serikali kwani mkakati ulio kuwepo ni kuboresha shule za kata zilizopo kwa...
Dirisha dogo la usajili linafungwa leo saa 5: 59 mpaka sasa yanga ina wachezaji sita wa kigen ambao ni jaja,continho, niyonzima, kihiza,okwi, na mbuyu twite na sheria inataka wachezaji watano wa kigeni sasa maxmo atamkata nani? Kumbuka akimkata okwi ndo simba washa mchukua na hela imeenda wakati...
Chama cha mapinduzi kimeshindwa kugawa zawadi wakati wa fainal hapa gairo na kusababisha fainal kushindwa kufanyika kwan vijana waligoma kucheza bila zawadi ambazo walihaidiwa zawad hizo ni jezi na mpira kwa mshind wa kwanza
Nimekua nikifuatilia wimbi la wahamiaji haramu kutoka Tanzania najiuliza kwenye sensa ya mwaka jana hawa watu si walihesabiwa kama walihesabiwa je kama wameondoka watanzania tupo pungufu au idad ipoje
Wanabodi! Kuna post humu nimepekua mpaka macho yamekua mekundu post yenyewe inazungumzia aina ya mavazi bint anaweza vaa kwenda ukweni naomba mwenye link ya hiyo aniwekee wadau
"TUKUMBUSHANE"
Hivi Gazeti la Mwanahalisi liko wap?
Naye Dr.ulimboka amehamia nchi gan? Hv mgomo wa walimu lin?
Na mafisadi wa EPA watanyongwa lin? Hivi unakumbuka mbunge analipwa posho kiasi gani kwa siku?
Unakumbuka bunge liliamuru bwn jairo na philimon Luhanjo wafukuzwe kazi iliishia wap...
Ticha: how old is your father?
son: as old as i am
teacher: how it is possible?
Son: yes it is possible because he become father only after i was born
@@@@@@@@@
Baba: mwanangu nikuulize swali
mtoto:uliza baba
baba: assume unafukuzwa na simba mara ukaona mti ukaamua kuuparamia gafla...
Habari wana bodi naomba kuuliza kama kuna sheria yoyote ambayo ninaweza kumshitaki huyu mama diwan aliyefukuzwa kutoka chadema na kujiunga na ccm na kusudia kumshitaki sio kwa sababu kutoa siri ya kutongwozwa la hasha!
Nakusudia kumshitaki kwa msongo wa mawazo alitusabishia sisi wazaz ambao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.