Mzururaji
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 1,559
- 1,272
Pole na majukukumu hapo Chato, Mheshimiwa Rais wangu.
Baada ya kuwaza sana juu ya kuongezeka kwa idadi ya wagonjwa corona naomba nikuombe bomoa zile kamati muweke RC Makonda aongoze mapambano kwa sababu zangu ninazoziona.
Kwanza Makonda akili imesha mkaa sawa sasa hivi naona ameamua kuongoza mapambano mwenyewe hizi hatua at least ndo wananchi wanazitaka kuona kuchukua hatua lakin wananchi hawawezi kuchukua hatua bila msukumo wa viongozi wao hapa naona makonda amethubutu.
Pili amesha experience kuwa mzaha mzaha hutumbua usaha kaona sasa kwenye mkoa wake wananchi wanazidi na Dar inaweza kuwa kitovu cha maambukizi hivyo kama mtu wa mwisho kukaa na wananchi ameona aingie front.
Tatu, utubutu wake ingawa kwenye hili inatakiwa response zote zitoke kwa ummy ama waziri Mkuu bahati mbaya Ummy ameamua kuwa msoma idadi ya walioambukizwa tu baada ya hapo huwezi msikia tena akija na lingine. Sikumbuki mara ya mwisho kumuona waziri wangu akifanya press conference juu ya corona zaidi ya kusoma tu idadi ya waathirika.
Mhe, Rais naomba nikili wazi sijawahi kukubaliana na mambo ya makonda Mengi sana ila kwenye hili naomba niseme ameanza kuonyesha njia ambayo kamati imeshindwa kufanya leo hii uturuki wameanza kuwa na visa vingi vya corona kuliko Irani hivyo tukiendelea na hizi kamati zako tunaweza jikuta na kesi nyingi kuliko nchi zote za Afrika Mashariki na Kati.
Sio siri huku mtaani tuna nawa sana lakini kila siku idadi inaongezeka hebu twende hatua ya pili kuona tunelekea wapi japo mpe makonda ama Muongezeni makonda kwenye hizo kamati wasiwasi Wetu vikao vya kujadili kukabiriana na corona visije vikawa vingi vyenye posho kuliko jinsi ya kukabiliana na Corona kwenyewe.
Baada ya kuwaza sana juu ya kuongezeka kwa idadi ya wagonjwa corona naomba nikuombe bomoa zile kamati muweke RC Makonda aongoze mapambano kwa sababu zangu ninazoziona.
Kwanza Makonda akili imesha mkaa sawa sasa hivi naona ameamua kuongoza mapambano mwenyewe hizi hatua at least ndo wananchi wanazitaka kuona kuchukua hatua lakin wananchi hawawezi kuchukua hatua bila msukumo wa viongozi wao hapa naona makonda amethubutu.
Pili amesha experience kuwa mzaha mzaha hutumbua usaha kaona sasa kwenye mkoa wake wananchi wanazidi na Dar inaweza kuwa kitovu cha maambukizi hivyo kama mtu wa mwisho kukaa na wananchi ameona aingie front.
Tatu, utubutu wake ingawa kwenye hili inatakiwa response zote zitoke kwa ummy ama waziri Mkuu bahati mbaya Ummy ameamua kuwa msoma idadi ya walioambukizwa tu baada ya hapo huwezi msikia tena akija na lingine. Sikumbuki mara ya mwisho kumuona waziri wangu akifanya press conference juu ya corona zaidi ya kusoma tu idadi ya waathirika.
Mhe, Rais naomba nikili wazi sijawahi kukubaliana na mambo ya makonda Mengi sana ila kwenye hili naomba niseme ameanza kuonyesha njia ambayo kamati imeshindwa kufanya leo hii uturuki wameanza kuwa na visa vingi vya corona kuliko Irani hivyo tukiendelea na hizi kamati zako tunaweza jikuta na kesi nyingi kuliko nchi zote za Afrika Mashariki na Kati.
Sio siri huku mtaani tuna nawa sana lakini kila siku idadi inaongezeka hebu twende hatua ya pili kuona tunelekea wapi japo mpe makonda ama Muongezeni makonda kwenye hizo kamati wasiwasi Wetu vikao vya kujadili kukabiriana na corona visije vikawa vingi vyenye posho kuliko jinsi ya kukabiliana na Corona kwenyewe.