Mzururaji
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 1,559
- 1,272
Dirisha dogo la usajili linafungwa leo saa 5: 59 mpaka sasa yanga ina wachezaji sita wa kigen ambao ni jaja,continho, niyonzima, kihiza,okwi, na mbuyu twite na sheria inataka wachezaji watano wa kigeni sasa maxmo atamkata nani? Kumbuka akimkata okwi ndo simba washa mchukua na hela imeenda wakati huo huo hawez kuwakata wale wazungu wake je unashaur nin kifanyike