Habari zenu wakuu. Ni kijana mtanzania nina miaka 27. Kipindi ninachopitia kwa sasa kinanifanya kuwaza mambo mengi sana pasipo kupata majibu ya kueleweka.
Hadi kufikia kuja humu basi ujue hali imekuwa sio hali. Najua hatufahamiani humu, lakini haimaanishi mtu hawezi kupata msaada. Napitia...
Hii ni kweli mkuu. Kuna siku nimepanda basi toka Dar kwenda Mwanza, chuma ilikuwa inapigwa mikwaju ya kufa raia, hapo tumeshika roho na kusali tu. Cha ajabu imepigwa mkono inspector anaingia anauliza vipi mwendokasi?
Maraia zinaitika "iko sawa afande".
Mimi bado ntazitupia lawama mamlaka husika kwa kushindwa kutofautisha ratiba za hawa wapuuzi ingali wanajua kinachoendelea. Kanda ya ziwa waliweka utofauti wa ratiba kati ya Chungwa na Jini Kisirani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.