The unpaid Seller
JF-Expert Member
- Oct 27, 2019
- 1,911
- 5,619
- Thread starter
- #21
kama umesomeshwa na familia yako na blah blah whatever kaolewe na familia yako shida iko wapi. Kutwa mmekazana na mapost ya "natafuta mume" jamani what the f.ck si mkaolewe na familia zenu zilizowasomesha ili muwe mafeminist maviburi na madumejike majuaji. Kila mtu ashinde mechi zake eboAnyway oeni wanawake wasiosoma ili muepukane na haya yote na hakikisheni mnahudumia hadi wazazi wao, siyo unachukua mtoto wa watu wazazi wake wamehangaika kumsomesha ili aje kuwasaidia halafu wewe unataka akawe mama wa nyumbani akihitaji pesa mpaka asubiri wewe mambo yakae sawa, bila shaka hata wewe hutasomesha mabinti zako na pia utawaasa kwamba wakiolewa wakawe wamama wa nyumbani tu si ndio