Dhana ya "kusaidiana" maisha na mwanamke katika utafutaji ni ya wanaume dhaifu na wajinga sana

Anyway oeni wanawake wasiosoma ili muepukane na haya yote na hakikisheni mnahudumia hadi wazazi wao, siyo unachukua mtoto wa watu wazazi wake wamehangaika kumsomesha ili aje kuwasaidia halafu wewe unataka akawe mama wa nyumbani akihitaji pesa mpaka asubiri wewe mambo yakae sawa, bila shaka hata wewe hutasomesha mabinti zako na pia utawaasa kwamba wakiolewa wakawe wamama wa nyumbani tu si ndio
kama umesomeshwa na familia yako na blah blah whatever kaolewe na familia yako shida iko wapi. Kutwa mmekazana na mapost ya "natafuta mume" jamani what the f.ck si mkaolewe na familia zenu zilizowasomesha ili muwe mafeminist maviburi na madumejike majuaji. Kila mtu ashinde mechi zake ebo
 
Anyway oeni wanawake wasiosoma ili muepukane na haya yote na hakikisheni mnahudumia hadi wazazi wao, siyo unachukua mtoto wa watu wazazi wake wamehangaika kumsomesha ili aje kuwasaidia halafu wewe unataka akawe mama wa nyumbani akihitaji pesa mpaka asubiri wewe mambo yakae sawa, bila shaka hata wewe hutasomesha mabinti zako na pia utawaasa kwamba wakiolewa wakawe wamama wa nyumbani tu si ndio
Utakuta jitu halijawahi kuwa kwenye ndoa linakupa wosia mrefu kuhusu ndoa😂😂.
jf ni kama kijiwe cha kahawa, mtu hana influence yoyote yupo tu kashiba kande anakuja kushauri mambo ya ndoa.
Huu mtabdao huwa unafurahisha sana
 
Anawanyoosha kwa faida ya vijana wengine
viijana gani?
Halafu vijana wanaofanya kazi hawashindi Jf wapo kariakoo huko wanapambana na kubeba mizigo sokoni.
Humu wengi hawana kazi, sasa unafikiri vp hata kuoa hata kujilisha kwako ni shida? Huoni vijana wnye nyege wanatongoza watu ambao hawajawahi hata kuwaona? Hiki ni kijiwe cha wahuni vijana waliopo humu ni 1%
 
Nikisoma sifa ze mke mwema kwenye METHALI 31

Sijaona mahali Mungu anasema mke akae nyumbani kama kubwa jinga anamsubiri tu mumewe.

METHALI 31:16
16. Huangalia shamba, akalinunua; Kwa mapato ya mikono yake hupanda mizabibu.

METHALI 31:24
24. Hufanya nguo za kitani na kuziuza; Huwapa wafanya biashara mishipi.

METHALI 31:27
27. Huangalia sana njia za watu wa nyumbani mwake; Wala hali chakula cha uvivu.
 
Utakuta jitu halijawahi kuwa kwenye ndoa linakupa wosia mrefu kuhusu ndoa😂😂.
jf ni kama kijiwe cha kahawa, mtu hana influence yoyote yupo tu kashiba kande anakuja kushauri mambo ya ndoa.
Huu mtabdao huwa unafurahisha sana
haya sawa sina influence
 
Ngoj nianze mazoez ya kukaa tu nyumbani ili nije kudumu kwenye ndoa 😌
 
Peace be upon you all,

Siku za hivi karibuni kumeibuka dhana ya wanaume kutaka kuoa wao wanasema "kuoana" na wanawake wenye kipato na ajira ili "kusaidiana maisha"

Aina hii ya wanaume ni wanaume dhaifu both mentally and physically oooh wait hata spiritually ni dhaifu na magoi goi. Tangu lini mwanamke akamsaidia mwanaume ?! Hivi unawafahamu wanawake wewe ?!

Hivi kweli umekaa hapo na makende yako ati To yeye atakusaidia maisha kwakua yeye ni mwalimu na wewe ni muhasibu wa ka NGO gani gani huko ?!! Hivi unawasikia au unawafahamu hawa viumbe, kwanza viajira vinawapa ujuaji, kiburi na jeuri ya hali ya juu

View attachment 2961006

Kawaulize mabini mashuleni na vyuoni kwanini wanakazana kusona (nawanakazana haswa sio mchezo) watakwambia wanasma ili wasije "kunyanyaswa" na mwanaume alafu wewe fala ati unataka waje "wakusaidie" maisha my friend una akili sawa kweli ?! ikumbukwe kwao kua chini ya uongozi wa mwanaume ni kunyanyaswa.

Mwanamke mwenye ajira, kwake ajira ina umuhimu kuliko familia na wewe mume. Akiambima achague kazi au wewe atachagua kazi kabla hata muuliza swali hajamaliza kuuliza.

mwanamke yuko radhi mlale njaa ila kwenye mkoba wake ana million na ushee argument yake ni kua sio jukumu lake kuhudumia familia, sasa ukimuuliza anafanya kazi ili iweje subiri vita ya Urusi na Ukrane. Wanataka haki sawa ila wanataka pia na special treatment qmamae hao ndio wanawake.

Hawa viumbe kwa ubinafsi hapajakuwako na hapatakuwako mfano wao chini ya jua, chini ya bahari na hata juu ya vilima na mawingu na hata mpaka miisho ya dunia. Hawa mafeminist ati wakusaidie maisha kuna wanaume wajinga sana dunia hii ila wanakipata cha mtema kuni

Wanawake hawafanyi kazi huko maofisini ati ili wakusaidie, NEVER wanafanya kazi ili "wasibabaishwe" wawe huru "wasitawaliwe" wajiamulie watakalo ikumbukwe wanawake wameumbwa na negative energy na uasi ndani yao bila kua chini ya mwanaume hutumiwa sana na shetani kuwaangamiza wanaume.

Vitabu vya imani vinamtaja mwanaume kwa hulkatna tabia ya Mungu huku mwanamke kwa hulka na tabia za shetani.

Kwanza kati ya familia zilizoganda kimaendeleo ni hizi za "kuoana" wote waajiriwa ili "kusaidiana maisha" mume daktari mwanamke askari polisi qmmae hawa hawapigi hatua yoyote wataishia kua daraja la kati au chini siku zote.

Sababu ni nyingi ila kubwa ni migogoro isiyoisha. Fuatilia wanandoa wenye viajira mume na mke kutwa ni minyukano na kutunishiana misuli sasa hapo maendeleo yanapatikanaje mwanawane ?!

Angalia hata masingo maza wengi ni wanawake wenye viajira wanaviburi, jeuri mixa ujuaji mwingi na kwa mwanaume kamili hawezi kuvumilia huo upuuzi hata kwa dawa kuna siku uanaume ndani yake utamzindua kwenye huo upuuzi. Lazima atapiga chini hilo feminist
View attachment 2961017

Sijasema familia za baba mtafutaji mama anatunza familia hazina mogogoro ila hua ni michache sana na suluhu hupatikana mapema bila kuleta madhara makubwa na hivyo mume hua na utulivu wa akili. Na hapo ndio mipango ya maendeleo inatekelezwa kwa ufanisi.

Hebu niambid Mo Dewji je mke wake kaajiriwa wapi mpaka "wakasaidiana" maisha ??! Mke wa Bakhresa je ameajiriwatwapi mpaka wakasaidiana wakawa matajiri ?! Penye migogoro na malumbano (ambayo imetawala wanandoa waajiriwa) hakuna baraka hapo wala hakuna utulivu wa kupanga mikakati ya maendeleo.

Ili pawe na maendeleo lazima pawe na kiongozi sasa hawa familia za haki sawa ukoo wa kambale wote wana ndevu mume na mke wote kila mtu mjuaji ndio mnaona matokeo wanaume wengi siku hizi wanakufa mapema kwa mapresha, kisukari, shinikizo mara heart attack na magongwa mengine lukuki.
View attachment 2961020

Wanaume waliooa wanawake wenye ajira wanaishi kwa maumivu na dhoruba kuu ni vile wanaugulia kimya kimya na NDIO WAKOME kutokusikia tangu lini mwanamke akamsaidia mwanaume.

Asante Mungu kwa kunipatia mke bora anaeitambua nafasi yake kama mke. Asante mama A mke wangu kipenzi, Asante kwa kuniombea kwa Mungu, asante kwa kuwalea watoto wangu kwa upendo wanaostahili. Nitaendelea kuzisaka noti kwa mzuka na morali ya hali ya juu ili wewe na watoto wangu muendelee kuishi kwa mustarehe maana unastahili mema ya nchi.

View attachment 2960989

picha hainihusu ila napenda falsafa ya mume kama kiongozi, mtafutaji, mfariji na sio falsafa ya haki sawa, feminism rabish.
Ungemalizia kwa kutoa "recommendations" za nini kifanyike ungekua umetisha sana.
 
Hivi ndugu mleta uzi umewahi kufikiria siku ukawa kitandani mgonjwa huwezi kutoka kwenda kwenye shughuli zako za kila siku, biashara yako imefirisika au umepoteza kazi?

Kama huyo mkeo unayemsifia cha uvivu kakaa tu nyumbani anakusubiri uumletee ataweza kuvumilia na kusaidia kama hajishughulishi?

MWANZO 2:18
Bwana Mungu akasema, “Si vyema huyu mwanaume awe peke yake. Nitamfanyia msaidizi wa kumfaa."

Hatukatai jukumu ka kuitunza familia ni la mume ila Mungu anataka mke awe msaidizi wake
 
Wanaume wasiojiamini, wasioenda shule na wasio elimika ndio huogopa Wake zao kufanya kazi.

Kwenye Dini, hakuna mke wa Nabii mkubwa yeyote ambaye alikuwa hafanyi kazi.

Muhammad mwenyewe mkeww mkubwa Bi. Khadija alikuwa mfanyabiashara na anapesa kuliko Muhamad mwenyewe.

Yesu alikuwa anahudumiwa na wanawake wafanyabishara akiwemo Mariam Magdalena.

Sifa mojawapo kuu ya mke mwema ni kufanya kazi. Kasome mithali 31.

Vigezo vya kuoa mke katika uislamu ni vitatu
1. Dini(Iman yake kwa Mungu)
2. Uzuri wake.
3. Mali zake.

Wanawake wote waliolelewa vyema na wanaojitambua ambao kimsingi ndio Wake Wema hawawezi kuolewa na mwanaume mjinga na Mpumbavu ambaye hataki wao wafanye kazi.

Ndio maana binti zetu tunawapeleka shule wakasome na kuelimika ili wasije kujikuta wanakutana na wanaume wapumbavu wasiojitambua na wasiojiamini.
Wapo wanawake wanawaza kuwa Marais, majaji, mawaziri, wakurugenzi alafu kuna mwanaume mmoja mjinga kwa umaskini wake wa fikra anawaza mawazo ya kizamani na kitoto ati Mwanamke asiwe na mchango ndani ya familia na jamii.

Kuhusu Usingle Mother,
Mwanamke yeyote aliyetoka familia kubwa yenu hadhi, na Mwanamke aliyesoma na kujitambua au hata ambaye hajasoma lakini anajitambua hawezi kuendana na kuishi na mwanaume Mpumbavu mwenye akili kama mada hii ilivyowasilishwa.

Kila mtu(Mwanamke na mwanaume) anayohaki ya kujitegemea ili awe Huru.

Wanaume waoga ndio pekee wanaogopa wanawake wenye vipato, wenye elimu, na wenye kujua haki zao
 
Tatizo ni kuchukua mwanamke mwenye malengo makubwa pengine kukuzidi. Una kipato cha kawaida, umeajiriwa na laki saba yako kwa mwezi, unaenda kuoa mwanamke ana degree sijui masters na ana malengo makubwa maishani, lazima msaidiane. Ila kama ukitaka comfort, chukua binti ambaye kuachiwa elf 10 mezani ya kupika kwake ni jambo kubwa mno na karidhika na hayo maisha.
 
Back
Top Bottom