Kuna yeyote aliyeoa single mother na wakafanikiwa kuishi vizuri tu kwenye ndoa?

Ukipata niunganishe nioe mkuu, Mimi sijaona mwanamke mzuri ambae hajatulia.
Fanya kitu kimoja simple, ongea na mama mwambie nataka kuoa single maza. Lakini kabla ya hapo pitia nyuzi zooote za single maza JF azisome ukiwa objective bila kumuonea wala kumpamba huyo demu. Zaidi zaidi unachoweza kufanya mpe muda wa karibu zaidi, mlazimishe kukaa naye kwake hata wiki, lala amka hapo. Utamjua vizuri sana nyendo zake, mtoto na conncection ya jamaa
 
Kukiwa na Single Moms means Kuna single Fathers pia si ndio??

why always single mama hivi single mama that Ila sijaona Wala kusikia Single dadies wakiongelewa sio kwa ubaya ,hata vizuri hawaongelewi like they don't exist..

Y'all should stop this nonsense really sio Fair,IT TAKES TWO TO TANGO,any fool with a dick anaweza kumpa ujauzito any decent Girl baadae akaruka futi Mia kua ujauzito sio wake,

Kuzaa kitu kibaya??labda tusikilize story za single mothers wote wa humu watuambie Nini kilitokea,tujaribu kua positive na kuhisi magumu ya wengine,.
 
Nimekaribia kuingia kwenye huu mtego aisee, nimepata single mother mzuri kinoma, ananisikiliza kila kitu , ni muislamu yupo tayari kubadili dini na kua mkristo, Yuko smart kichwani yaani naona kabisa huyu naenda kufanya nae maisha, yaani mtoto ni mweupeee waarabu flani wa kasulu huko.

Lakini Kila niliemshirikisha ananiambia nikimbie mbio nyingi nisirudi nyuma, Wala nisijaribu kumuonea huruma, lakini nimefanya research watu wanaongoza kuachana ni hao hao ambao hawakuoa single mother,

Unaweza pata mwanamke bikra na bado mkaachana tu, una uhakika gani huyu mwanamke uliyenaye hajawai kuchoropoa mimba au kutumia P2/ majira kwenye maisha yake?

Kuna wengine wanaingia kwenye usingle mother kwa sababu ya mistake ndogo ndogo 😁😁..

NB, jamaa aliemzalisha anafamilia yake, alitumia advantage ya dogo kwa umaskini wake kumrubuni kupata kazi.

Nioe au nikimbie mbio nyingi sana.
Oa tu mkuu ili sie tuendelee kunufaika na nyuzi zako za kupigwa ma-EVENT
 
Fanya kitu kimoja simple, ongea na mama mwambie nataka kuoa single maza. Lakini kabla ya hapo pitia nyuzi zooote za single maza JF azisome ukiwa objective bila kumuonea wala kumpamba huyo demu. Zaidi zaidi unachoweza kufanya mpe muda wa karibu zaidi, mlazimishe kukaa naye kwake hata wiki, lala amka hapo. Utamjua vizuri sana nyendo zake, mtoto na conncection ya jamaa
HII NILIREPLY KWA DAVINC, HII NDIO SABABU SITAKI KUWASHIRIKISHA WAZAZI.


Sio kweli davinc, hasa kwa wazazi hawa wa mjini ambao wengi wao wanapenda sifa waonekanaje kwa marafiki zao, mfano mzuri ni Mimi, Mother alinitafutia mchumba ambae yeye kwa maono yake anafaa kuolewa, tena kwa sababu anamuona kanisani jinsi anavyojitoa n.k Binti ni mzuri, Mimi kwenye maongezi na huyo binti nikaona hapa hakuna kitu, Binti mjuaji then washikaji wakanambia jinsi ambavyo hajatulia nikapiga chini, basi nikatafuta mchumba mwenyewe kutoka kigoma huko Tena alikua bikra maana Binti kwenye harakati za kunihakikishia hajapigwa ikabidi iwe hivyo, japo sikuitoa nilipompeleka nyumbani wazazi wakamkataa kisa muonekano wake sio mzuri/elimu n.k unaelewa? Kwahiyo kwa wazazi wa sasa sio wazazi woote wanafaa kua washauri kwenye upande huo, ndio maana sasahivi nafanya mambo yangu bila kuwashirikisha kwa lolote.
 
Nimekaribia kuingia kwenye huu mtego aisee, nimepata single mother mzuri kinoma, ananisikiliza kila kitu , ni muislamu yupo tayari kubadili dini na kua mkristo, Yuko smart kichwani yaani naona kabisa huyu naenda kufanya nae maisha, yaani mtoto ni mweupeee waarabu flani wa kasulu huko.

Lakini Kila niliemshirikisha ananiambia nikimbie mbio nyingi nisirudi nyuma, Wala nisijaribu kumuonea huruma, lakini nimefanya research watu wanaongoza kuachana ni hao hao ambao hawakuoa single mother,

Unaweza pata mwanamke bikra na bado mkaachana tu, una uhakika gani huyu mwanamke uliyenaye hajawai kuchoropoa mimba au kutumia P2/ majira kwenye maisha yake?

Kuna wengine wanaingia kwenye usingle mother kwa sababu ya mistake ndogo ndogo ..

NB, jamaa aliemzalisha anafamilia yake, alitumia advantage ya dogo kwa umaskini wake kumrubuni kupata kazi.

Nioe au nikimbie mbio nyingi sana.
Ushaingia kibla wew usituchoshe na usikute ndo singi maza mwenyewe OG unajipigia pande
 
Mtoto wa mwanamke siyo shida, shida ni mwanamke. Huyo hata angempa sumu mwanae akakuambia hajawahi kuwa na mtoto kama ni pasua kichwa utapasuka tu.
 
Back
Top Bottom