Fanya kitu kimoja simple, ongea na mama mwambie nataka kuoa single maza. Lakini kabla ya hapo pitia nyuzi zooote za single maza JF azisome ukiwa objective bila kumuonea wala kumpamba huyo demu. Zaidi zaidi unachoweza kufanya mpe muda wa karibu zaidi, mlazimishe kukaa naye kwake hata wiki, lala amka hapo. Utamjua vizuri sana nyendo zake, mtoto na conncection ya jamaaUkipata niunganishe nioe mkuu, Mimi sijaona mwanamke mzuri ambae hajatulia.
Oa tu mkuu ili sie tuendelee kunufaika na nyuzi zako za kupigwa ma-EVENTNimekaribia kuingia kwenye huu mtego aisee, nimepata single mother mzuri kinoma, ananisikiliza kila kitu , ni muislamu yupo tayari kubadili dini na kua mkristo, Yuko smart kichwani yaani naona kabisa huyu naenda kufanya nae maisha, yaani mtoto ni mweupeee waarabu flani wa kasulu huko.
Lakini Kila niliemshirikisha ananiambia nikimbie mbio nyingi nisirudi nyuma, Wala nisijaribu kumuonea huruma, lakini nimefanya research watu wanaongoza kuachana ni hao hao ambao hawakuoa single mother,
Unaweza pata mwanamke bikra na bado mkaachana tu, una uhakika gani huyu mwanamke uliyenaye hajawai kuchoropoa mimba au kutumia P2/ majira kwenye maisha yake?
Kuna wengine wanaingia kwenye usingle mother kwa sababu ya mistake ndogo ndogo 😁😁..
NB, jamaa aliemzalisha anafamilia yake, alitumia advantage ya dogo kwa umaskini wake kumrubuni kupata kazi.
Nioe au nikimbie mbio nyingi sana.
Yeah kwa kweli hatueweki....tusaidieni basi kukaa sawaYeah kiujumla wanawake mnahitaji special treatment maana hata nyie hamuelewi mnataka kipi
HII NILIREPLY KWA DAVINC, HII NDIO SABABU SITAKI KUWASHIRIKISHA WAZAZI.Fanya kitu kimoja simple, ongea na mama mwambie nataka kuoa single maza. Lakini kabla ya hapo pitia nyuzi zooote za single maza JF azisome ukiwa objective bila kumuonea wala kumpamba huyo demu. Zaidi zaidi unachoweza kufanya mpe muda wa karibu zaidi, mlazimishe kukaa naye kwake hata wiki, lala amka hapo. Utamjua vizuri sana nyendo zake, mtoto na conncection ya jamaa
Sasa tuchukulie ndo dada yako single mother hapo na anataka kuolewa! Hebu toa ushaur wako hapaaaHadi unaoa mwanamke mwenye mtoto unakua umekosa nini kijana??
Hebu jaribu kumuuliza mama yako au dada zako uone watakujibu nini.
Dada zako hawatakua tayari uoe mwanamke mwenye mtoto.... Japo hawatakulazimisha
akuige wewe broo.mbona umeamua kuishi na mahondwa ingawa nimke wamtu nahujali kitu.yaani umeamua iwe undava undava tuu
Mkuu hata dada yako ambae ni singo maza hatoshauri uoe singo maza. Huo ndio ukweli.Sasa tuchukulie ndo dada yako single mother hapo na anataka kuolewa! Hebu toa ushaur wako hapaaa
Duh hii ni kama cross multiplication kwenye hisabati 😁Mimi nafikiri ni akili ya mtu ,nasema ivyo kwa sababu mimi nimezalisha wanawake kama wawili ivi na wameshaolewa na mimi naheshimu mno ndoa zao.
Lakini mimi pia nilioa singel mother ndoa imevunjika na aliyevunja ndoa ni huyo jamaa aliyezaa nae
Nawasilisha
Haha sawaYeah kwa kweli hatueweki....tusaidieni basi kukaa sawa
Ushaingia kibla wew usituchoshe na usikute ndo singi maza mwenyewe OG unajipigia pandeNimekaribia kuingia kwenye huu mtego aisee, nimepata single mother mzuri kinoma, ananisikiliza kila kitu , ni muislamu yupo tayari kubadili dini na kua mkristo, Yuko smart kichwani yaani naona kabisa huyu naenda kufanya nae maisha, yaani mtoto ni mweupeee waarabu flani wa kasulu huko.
Lakini Kila niliemshirikisha ananiambia nikimbie mbio nyingi nisirudi nyuma, Wala nisijaribu kumuonea huruma, lakini nimefanya research watu wanaongoza kuachana ni hao hao ambao hawakuoa single mother,
Unaweza pata mwanamke bikra na bado mkaachana tu, una uhakika gani huyu mwanamke uliyenaye hajawai kuchoropoa mimba au kutumia P2/ majira kwenye maisha yake?
Kuna wengine wanaingia kwenye usingle mother kwa sababu ya mistake ndogo ndogo ..
NB, jamaa aliemzalisha anafamilia yake, alitumia advantage ya dogo kwa umaskini wake kumrubuni kupata kazi.
Nioe au nikimbie mbio nyingi sana.
Leo ndio najua kama Smart911 ni mwanaume. Siku zote najua ni binti anaebashiwa na mahondawakuige wewe broo.mbona umeamua kuishi na mahondwa ingawa nimke wamtu nahujali kitu.yaani umeamua iwe undava undava tuu