Cheology JF-Expert Member Jun 25, 2022 384 593 Apr 11, 2024 #1 Mfumo umefunguka vizuri. Ninaingiza taarifa vizuri. Kwa nini sehemu ya kuingiza namba ya NIDA nikibofya inazunguuka muda mrefu haiendeleei? Msaada wanaujua hili suala.
Mfumo umefunguka vizuri. Ninaingiza taarifa vizuri. Kwa nini sehemu ya kuingiza namba ya NIDA nikibofya inazunguuka muda mrefu haiendeleei? Msaada wanaujua hili suala.
Cheology JF-Expert Member Jun 25, 2022 384 593 Apr 11, 2024 Thread starter #5 Zero Conscious_ said: Mkuu kwani wameshatangaza? Click to expand... Nataka kujiunga na mfumo mapema
Zero Conscious_ Member Mar 12, 2024 45 140 Apr 11, 2024 #6 Cheology said: Nataka kujiunga na mfumo mapema Click to expand... Umemaliza mwaka gan mkuu? Na lini umesikia wanaweza kutoa official announcement
Cheology said: Nataka kujiunga na mfumo mapema Click to expand... Umemaliza mwaka gan mkuu? Na lini umesikia wanaweza kutoa official announcement
Voice of Tanzania JF-Expert Member Sep 23, 2018 1,735 2,610 Apr 11, 2024 #7 Ahaaa kazi azijatangazwa wewe unasumbua sever. Utashughulikiwa
Smart911 Platinum Member Jan 3, 2014 120,849 144,604 Apr 11, 2024 #8 Ngoja waje kukupa muongozo... Cc: Mahondaw