Leo ni mara ya pili katika kipindi cha karibu wiki ya tatu sasa Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Kattanga hajaonekana hadharani na nafasi yake imekuwa ikikaimiwa na Mhe. Kusiruka.
Yeyote mwenye taarifa za huyu Mheshimiwa tafadhari tunaomba atudokeze.
Nadhani ifike muda tuachane na huu ujinga wa kiini macho cha so called uchaguzi, huu ni upotevu mkubwa sana wa muda na pesa bila sababu ya msingi.
Watu wameshapanga matokeo since day one na wanajua kabisa wanachokwenda kufanya why muhangaike kupoteza pesa za walipa kodi na muda wao kwa njia ya...
Chadema mshaurini Lissu kufanya utafiti kabla ya kusema maneno mazito mazito, nimesikia kwenye clip anasema siku aliyopigwa risasi ndiyo siku Bwana Mkubwa alitamka mbele ya hadhara kuwa msaliti lazima auawe.
Tarehe 7 September 2017 katika hotuba ya Bwana Mkubwa hakuna sehemu aliyosema hicho...
Kesho nitakuwa kwenye Viunga vya Mahakama ya Iringa kusikiliza hukumu ya Kijana machachari Abdul Nondo VS Jamuhuri japo hukumu tayari ninayo ila ngoja tusubiri tuone nini kitakachojiri.Nawasilisha
Nimekuwa nikufuatilia sana Press za Polisi Dodoma ama kwa hakika huyu Kamanda Gillas Muroto ni burudani tosha kuanzia lafudhi yake mbwembwe za kuwalineup wahalifu lakini kikubwa zaidi ni Slogan yake Ukiingia Dodoma kufanya uhalifu hutoki.Pamoja na tukio la Lisu kumtia Doa ila kamanda huyu ni...
Moja ya kipande chake cha ngoma mpya inaonekana 20 Percent akiwachana kiaina Clouds Fm kwa kuwaaambia ukitaka kudhalilishwa Nenda Clouds hata Sketi watakuambia uvae.kwa Mwendo huu sijui kama tutafika
Muheshimiwa Waziri anayehusika na uchukuzi tafadhari tunaomba muifutie leseni hii kampuni ya Fastjet maana imejaa utapeli wa kiwango cha hali ya juu sana, kuahirisha safari kwao sasa hata kwa masaa14 ni jambo la kawaida bila kujali athari anazopata mteja.Fidia pekee anayopata mteja ni shilingi...
Wakuu naomba kujuzwa vipi hii Blog pendwa ya Millard Ayo imepatwa Kwikwi gani maana naona zaidi ya masaa 20 imeganda Tu ,mwenye taarifa zaidi tafadhari naomba atujuze maana blog hii ni kama Mdogo wake na JF
Yule Mzee Mkongwe na Gwiji la siasa l za Tanzania Mzee Sozigwa amefariki Dunia. Sozigwa alikuwa amelazwa katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI). Mtoto wa Mzee Sozigwa, Mchungaji Moses Sozigwa alisema tatizo la kwanza lililokuwa likimsumbua baba yao ni kupoteza kumbukumbu. Baadaye...
Tunapigiwa kelele kila siku tufanye kazi na Bwana mkubwa lakini hili la kutuweka barabarani masaa 3 halikubaliki .Please tafuta njia mbadala ya kukufikisha uendako ulichotufanyia Leo wakati unaenda ngerengere si ustaarabu kabisa.ni hayo tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.