Hayo huyasemayo yamefanyika, sifanyi biashara ya gas Wala mkaa na Wala Sina faida yoyote ya kupotosha umma, ukweli lazima usemwe na kama Kuna kasoro wazirekebishe. Kuna jirani yangu nae alipata tatizo kama Hilo, Kwa iyo nae ni mpotoshaji?
Usikimbilie tu to conclusion eti ni upotoshaji, wakati...
Tumekuwa tunahimizwa kutumia Gas badala ya mkaa ili kulinda mazingira. Lakini nashindwa neno sahihi la kukiita sijui ni wizi au ni Utapeli Kwa kujaziwa sijui ni mchanganyiko wa Maji na gas katika mitungi ya gas.
Nimenunua mtungi wa ORIX gas wiki iliyopita na kutumia lakini chakushangaza badala...
PONGEZI sana Kwenu ninyi Wanasheria ambao mnajitambua kuwa nanyi mmetoka katika MAISHA ya kawaida na wengine kutoka katika MAISHA nafuu na mkabahatika kusoma iwe Kwa shida au Kwa raha na kufanikiwa kuwa Wanasheria.
Wengi wenu mnatambua hali ya UELEWA wa Mtanzania kuhusu sheria, na nadhani...
Tatizo sio kusamehe bali mke, Watoto na ndugu wa marehemu ni majirani, huwezi elewa wanalichukuliaje hili suala. Si wataamini ndugu Yao amekufa Kwa ushirikina na wanaweza siku moja wakamvamia jamaa na mapanga kama walivyokuwa wanafanyiwa watu walivyokuwa wanahisiwa walozi
Wataalamu wa sheria jamaa yangu amedharilishwa Kwa kutukanwa na kuambiwa kuwa ameua mtu Ambae alikufa mwaka Jana Kwa ajali ya kugongwa na gari.
Je, anatakiwa afanye nini ili ashtaki ili aliyemchafua achukuliwe hatua? Aende Polisi au mahalamani?
Moja Kwa moja kwenye Mada bila kuchoshana Wala kupotezeana muda, in short Manispaa ya Morogoro mnatuibia Kwa nguvu abiria tunaotumia stand kuu ya mabasi Msamvu.
Kitengo Cha ukusanyaji Ushuru stand ya mabasi Msamvu mnatumia mabavu kulazimisha Kila abiria anaetoka NDANI ya stand Ambae kwenye...
Wewe ndio una mapepo! Kawe Kuna nini? Kwani amekwambia ana shida ya nyama ya ng'ombe?? Kwa maana pale Kawe Tanganyika Parkers wewe je hujui kulikuwa na kiwanda Cha nini? Basi kama hujui uliza Kwa wazawa wa DSM, ndio maana mnafanywa kafara!!
Binadamu Kila kukicha ni kutafuta pesa tu! Uhai autafutwi, kwani kuishi ni bahati tu bali kufa ni lazima, iwe unapenda au haupendi utakufa tu! Hakuna mwenye uhalali wa kuishi milele hapa duniani Kila mtu ni marehemu mtarajiwa.
Pesa ndio Kila kitu humu duniani ISIPOKUWA UHAI TU! Hata uwe...
Kwa goli la kwanza Mimi naona ni kosa la Manula, Kwa sababu kama angekuwa makini asingemsubiri yule mfungaji golini wakati alishamwona mchezaji wa Simba keshaangula na mfungaji ameutanguliza Mpira Kwa mbali mara ya kwanza na pia akautanguliza mara ya pili Kwa mbali tena huku Manula amekaa golini...
Tukizungumza ukweli yule Fred tumepigwa! Hafai kabisa kucheza Ligi kuu ya Tanzania, labda ktk Tanzania yetu akacheze mchangani au daraja la tatu Wilaya.
Lakini Cha ajabu Benchika ndio amekuwa mtu wake na sijui Kuna Siri gani kati ya Fred na Benchika, maana ata siku ile na TRA Fred alipofunga...
Achana naye makota huyo! Hajui lolote atakupotezea muda tu na kukuzidishia hasira upoteze furaha yako Kwa ajili ya huyo hayawani!
Sent from my Infinix X6512 using JamiiForums mobile app
Kauli ya Kuwa eti Simba ilipangwa kundi dhaifu, hivi wewe akili zako Zina Akili kweli? Hujielewi kwamba kwa ajira uliyonayo unasikilizwa na kufuatiliwa na watu ambao baadhi hawajui lolote na wanategemea Kila wanalolisikia kutoka katika vyombo vya habari ambavyo Kuna waajiriwa kama wewe ni habari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.