Aishi Manula, mwanzo wa mwisho wa ufalme?

Kwenye historia ya Simba Manula ndo golikipa aliyerusu magoli mengi tuliyofungwa kwa mechi moja moja.

Al Ahly 5- Simba 0 kipa Manula.
As Vita 5- Simba 0 kipa Manula.
Raja 3- Simba 0 kipa Manula
Yanga 5-Simba 0 kipa Manula
Kaizer Chief 4- Simba 0 kipa Manula
Algeria 7- Taifa Stars 0 kipa Manula.
Manula hafai kabisa

Marekebisho..

Yanga 5 - Simba 1.

5 -0 Simba alimfunga Uto
 
Kwenye historia ya Simba Manula ndo golikipa aliyerusu magoli mengi tuliyofungwa kwa mechi moja moja.

Al Ahly 5- Simba 0 kipa Manula.
As Vita 5- Simba 0 kipa Manula.
Raja 3- Simba 0 kipa Manula
Yanga 5-Simba 0 kipa Manula
Kaizer Chief 4- Simba 0 kipa Manula
Algeria 7- Taifa Stars 0 kipa Manula.
Manula hafai kabisa
TP Mazembe 4 Kolo 0
 
Sisi mashabiki wa simba tunakiri wazi hii ligi ya Tanganyika ni ngumu! Bora mlezi wetu Wallace Karia, aturuhusu tu tuhamie ligi ya Zanzibar, au India.
 
Binafsi sikuona kosa la Manula
Kwa goli la kwanza Mimi naona ni kosa la Manula, Kwa sababu kama angekuwa makini asingemsubiri yule mfungaji golini wakati alishamwona mchezaji wa Simba keshaangula na mfungaji ameutanguliza Mpira Kwa mbali mara ya kwanza na pia akautanguliza mara ya pili Kwa mbali tena huku Manula amekaa golini tu, alitakiwa kuwa makini alipomuona mfungaji amemtoka beki basi naye Manula angemkabili mfungaji haraka kama anavyofanyaga Diara.

Sent from my Infinix X6512 using JamiiForums mobile app
 
Goli la kwanza ni uzembe wake wa kuchelewa kutoka golini kukabiliana na mshambuliaji wa Prison ila kosa alianza kulifanya Kibu kwa kiherehere chake cha kugeuka nyuma na mpira badala ya kupiga krosi wakati kashafika pembeni kabisa ya goli la Prison na washambuliaji wanasubiri mpira pale golini kwa Prison.

Goli la pili kidogo unaweza kumlaumu Manula kwa kushindwa kubana "angle" ili amlazimishe mpigaji aingize mpira kati au apige "V" ambapo mabeki wake walikuwepo wangeweza kuokoa. Lakini wa kulaumiwa zaidi kwa goli la pili ni mabeki kwani wakati mpira unarushwa hawakuwa makini na wachezaji wa Prison na kibaya zaidi Kennedy ni kama roboti huwa hanyumbuliki kiasi akipigwa chenga ikikubali hawezi kujipindua haraka amuwahi tena aliyempiga chenga.

Ni muda sasa kiwango cha Manula kinazidi kushuka na hajaweza kurudi vizuri toka alipotoka kuwa majeruhi. Na hata ukimwangalia sasa hivi ni kama hana furaha hata zile za kuwagombeza mabeki wakifanya uzembe hazipo kama zamani nadhani pia hajakubaliana na ile hali ya kuwa kipa namba mbili. Kwa zile goli za jana sidhani hata Ally Salimu kama angeruhusu zifungwe kirahisi vile.
 
Marekebisho..

Yanga 5 - Simba 1.

5 -0 Simba alimfunga Uto
Marehemu alikuwa na mdomo sana.

Ubinadamu ni kazi/Humanity is a work.
JamiiForums-31645776.jpg


Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 

Attachments

  • JamiiForums258363410.jpg
    JamiiForums258363410.jpg
    62.7 KB · Views: 2
Timu ni mbovu Haina kiungo mzuiaji, Ata mechi na JKT Tanzania mlistahili kufungwa tatizo lilikua utoto wa JKT Tanzania.
sio utoto sema ubora wa nyanda la dunia ayub ndio iliamua tutoke na point 3 vinginevyo angedaka huyu mwehu tungekandwa 7 kwa 1
 
Naona Aishi Manula zama zinamtupa mkono.....ufalme unaanguka mbele ya macho yake...... Hakika kila lenye mwanzo lina mwisho
Ni kweli kila jambo lina mwanzo na mwisho, hakuna chochote kinachoweza kudumu daima. Alipendwa Ibrahim baba wa imani na zama zake zikaisha, Roma ilitawala karibia robo tatu ya ulimwengu baadae ikashuka, alitamba Mike Tyson kwenye ngumi na zama zake zikaisha, bongo alisifika Lunyamila, Sanga akaoa wanawake na kuwapanga zama zake lakini wote wakapita.... So tusishangae Manula akipotea kwenye zama zake pia
 
Back
Top Bottom