Duuuh kweli Politics is difficult than physics!! Sasa huyu MGEJA sindo kamkimbiza LEMBELI CCM kwa zengwe na vituko vyake!? Sasa itakuaje anahamia hukohuko alikokwenda LEMBELI!!? Nnachokiona kama FAIDA kubwa ya UKAWA ni kuwapatanisha maadui wa muda mrefu.
Swali la 23 nimelielewa sana.
Ungeongeza na 26: Je kati ya rasimu yapili ya katiba na hii katiba pendekezwa ni ipi unaiona ni bora na yenye manufaa kwa Taifa hili?
Akijibu haya vizuri, naimani atabadili mitazamo ya wengi kwake
Wewe na wajumbe wenzii wa tume ya mabadiliko ya katiba, mtakumbukwa sana kaka @ Polepole. Tunafaham kabisa kua kila mtu ana ubinafc wake kwa namna moja au nyingine, lakini kitendo cha kuuweka pembeni ubinafsi wenu na kusimama kwa maslahi ya Taifa letu, ni zawadi na heshima kubwa kwa watanzania...
Kuitambua Tanganyika kunazua hofu nyingi.
Lakin hofu zote zinatokana na watu kupenda utawala wa kudumu.
Mfano ni huu: Serikali tatu zitafufua upya wafu wawili ( TANU & ASP) hii maanayake nini? Hii iyasababisha kufa kwa kiumbe hai (CCM). Ikiwa hivo kitakachofata nini? Kitakachofata ni kutengeneza...
Nguruwejike anajiita Farudume!
Hivi mtu na akili zake unashindwa kutofautisha Uislam na ugaidi au Uarabu na Usomali!??!
Kwahyo miaka zaidi ya 50 ya shule za seminary nchi hii hukuwahi kupna tatizo kabisa. Ila kwakuwa kumeanza kuibuka shule za Kiislam ndo unaiona Alshabaab inakunyemelea"?
Huu uchambuzi wako ni wakizushi, uchochezi na Unafiki mkubwa sana. Na hizi ndo dalili za fikra jangwa na mawazo kame.
Hebu angalia majina yaliyotolewa na TCU kwaajili ya wanafunzi takaojiunga na MUM mwaka huu kama hakuna watu wa dini nyingine.
Halafu mbona unaonekana kuushambulia upande mmoja...
Inferiority complex can be prooved by someone actaing against it without giving it a second thought.
Hivi ndivo naibu spika alivowadhirishia Wadanganyika leo kuwa yeye anaongozwa na HISIA DHALILI
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.