Maswali mengine 25 mazito kwa Lowassa

Hata ukija na kona nyingi nyingi tusha kubaini kuwa wewe ni Ant Lowasa, na kwa taarifa yako tu ni kuwa ndani ya ccm hakuna mtu wa kumpiku Lowasa ktk mbio za urais 2015....

be carefull.....

Hakuna mgombea wa kupita bila kupingwa na upepo huwa unavuma kutoka pande tofauti tofauti KULINGANA NA MAJIRA YA MWAKA, MSIMU NK.
 
Swali la 23 nimelielewa sana.
Ungeongeza na 26: Je kati ya rasimu yapili ya katiba na hii katiba pendekezwa ni ipi unaiona ni bora na yenye manufaa kwa Taifa hili?
Akijibu haya vizuri, naimani atabadili mitazamo ya wengi kwake
 
Na wewe tunakujua kuwa ni Pro Lowasa. Na kwa taarifa yako ni kwamba ndani ya CCM Lowasa ananuka kama kinyesi

Ndiyo maana halmashauri zetu hazifanyi kazi ipasavyo, DT mzima 24/7 kwenye mitandao tu. Ebu hudumia wananchi mkuu. Ushakula fedha za wananchi za mahabara mumefanya serikali hii ipate laana ya wananchi
 
Maswali mazuri..tutayatumia mengine kwenye midahalo!!!

Mdahalo gani? Yaani mdahalo moja umuweke Lowassa na Kigwangala sii ni dharau kubwa sana.....

Mdahalo moja umuweke Lowassa na Mwigulu, sii ni dharau kubwa.

Mdahalo moja umuweke Lowassa na Membe sii ni dharau kubwa hiyo.

Hata kwenye ndondi wanazipiga kutokana na uzito. Sasa mdahalo gani hauangalii uzito, uzito wa Lowassa kwa sasa hakuna.
 
Mdahalo gani? Yaani mdahalo moja umuweke Lowassa na Kigwangala sii ni dharau kubwa sana.....

Mdahalo moja umuweke Lowassa na Mwigulu, sii ni dharau kubwa.

Mdahalo moja umuweke Lowassa na Membe sii ni dharau kubwa hiyo.

Hata kwenye ndondi wanazipiga kutokana na uzito. Sasa mdahalo gani hauangalii uzito, uzito wa Lowassa kwa sasa hakuna.

Jibu swali la 25 kabla picha za selukamba na edoo hazijamwagwa hapa
 
Vipi yule mrusi wa lowasa peter korav

Warusi hawana majina ya Peter huo ni uongo uliotukuka. Me namjua Charles Dunken aliyemboost Nyalandu kabla ya kuvunja amri ya 6 na Aunt Ezekiel (source, Aunt Ezekiel). Huyo huyo Membe anamjua vizuri sana. Kuna mwarabu moja hivi pia ndio anamfaidi joka la mdimu, natafuta jina then am coming back to you.
 
Warusi hawana majina ya Peter huo ni uongo uliotukuka. Me namjua Charles Dunken aliyemboost Nyalandu kabla ya kuvunja amri ya 6 na Aunt Ezekiel (source, Aunt Ezekiel). Huyo huyo Membe anamjua vizuri sana. Kuna mwarabu moja hivi pia ndio anamfaidi joka la mdimu, natafuta jina then am coming back to you.

Sawa wewe unayejua majina ya nchi zote utajua tuu ile mikono kutetemeka inatokana na nini
 
Back
Top Bottom