Taifa Limenza kugawanyika

i think, tulishagawanyika longtym, but ishu ya dini ndio inayoogopwa zaidi. kitu kama hicho
 
Unapaswa kuitwa siafu jike,kwani sjaona haja ya kumdhihaki mleta hoja.hiki kitendo cha ubaguzi wa kidi kipo na kinazidi kukomaa kwenye mashule kama unaakili timamu jiulize inakuwa vipi we ni mkiristo unalazimishwa kuingia mskitini kusali ilihali we sio mwislam?na vivyo hivyo kwa shule za kikatoriki mwanafunzi mwislamu analazimishwa kwenda kanisani na kusoma mafundisho ya biblia je hapo kuna haki ya kuabuda?serikali ipo inaimba kidumu chama cha mapinduz kila sku,imeshindwa kuilinda katiba na kuitetea kuhusu uhuru wa kuabudu,kwa mantiki hiyo kukiwa na watoto watano wa kislamu watatu wakristo wawili wanahtaji nafasi kwenye shule ya kikristo kipao mbele unadhani kitakuwa kwa nani?imefka sasa mtoto wa kislamu aogope kuvalia mavaz ya kidini pindi anapoenda kutafta nafasi kwenye shule za kikristo kwani ataambiwa nafasi haipo kabla hata ya kupewa kiti,ilinitokea mwenyewe sintasahau.
Wewe ndiyo hakuna ulichoandika utakuwa umevurugwa kwa kiasi kikubwa mtu mwenye akili nzuri hawezi kuandika ubwabwa kama ulioandika.
 
Mbali na matatizo ya Kisiasa nchini na mgawanyiko wa mawazo ya muundo wa Katiba pamoja na mchakato wake.

Tofauti za Kidini zimeanza kuongezeka na zinakuwa kwa kasi kubwa sana. Sasa hivi tuna Sekondari ambazo dini mbili hazichanganyiki, tuna chuo kikuu cha kiislamu ambacho wakristu hawaingii kusoma hapo. Kuna shule ya sekondari pale Iringa ya mwarabu wa ASAS ambayo sasa dini tu haitoshi, bila kuwa Mhindi au mwarabu huingii kusoma.

Shule hizi siyo seminari. Ni shule za kawaida na hakuna sababu ya kubagua dini au rangi ya mtu.

Wasiwasi wangu ni kwamba hali hiyo inawaonyesha vijana wetu kwamba hawastahili kuchangayika. Wanasoma ktk mazingira hayo na hata itakapofika ktk ajira hawataweza kuchanganyika.

Wapi tunakokwenda? Tunaowaita viongozi wanaiona hali hii au ni faraja kwao?
Mbona hausemi seminari za Wakirsto hawataki Waislam au wewe kwako hakuna tatizo wewe umeona chuo kikuu cha Morogoro tu.
 
Huu uchambuzi wako ni wakizushi, uchochezi na Unafiki mkubwa sana. Na hizi ndo dalili za fikra jangwa na mawazo kame.
Hebu angalia majina yaliyotolewa na TCU kwaajili ya wanafunzi takaojiunga na MUM mwaka huu kama hakuna watu wa dini nyingine.
Halafu mbona unaonekana kuushambulia upande mmoja? Inamaana wewe unaziona taasisi za Kiislam tu!!? Hizo nyingine huna taarifa nazo au umetumwa.
Hata ufanyeje, amani tulonayo haitavujika kirahic!!?
MAMLUKI MKUBWA
Shule zikianza kufundisha Watu wa Imani Moja tu,Al Shabab haiepukiki.
 
Nguruwejike anajiita Farudume!
Hivi mtu na akili zake unashindwa kutofautisha Uislam na ugaidi au Uarabu na Usomali!??!
Kwahyo miaka zaidi ya 50 ya shule za seminary nchi hii hukuwahi kupna tatizo kabisa. Ila kwakuwa kumeanza kuibuka shule za Kiislam ndo unaiona Alshabaab inakunyemelea"?
 
Kuna kanuni inasema, " Utavuna ulichopanda!" Haya yanayotokea kuhusu matengano ni mavuno ya mbegu iliyopandwa na system zetu wakiwa wanajua au wakiwa hawajui. Ikiachwa iendelee hatutakuwa na umoja tena!
 
Unapaswa kuitwa siafu jike,kwani sjaona haja ya kumdhihaki mleta hoja.hiki kitendo cha ubaguzi wa kidi kipo na kinazidi kukomaa kwenye mashule kama unaakili timamu jiulize inakuwa vipi we ni mkiristo unalazimishwa kuingia mskitini kusali ilihali we sio mwislam?na vivyo hivyo kwa shule za kikatoriki mwanafunzi mwislamu analazimishwa kwenda kanisani na kusoma mafundisho ya biblia je hapo kuna haki ya kuabuda?serikali ipo inaimba kidumu chama cha mapinduz kila sku,imeshindwa kuilinda katiba na kuitetea kuhusu uhuru wa kuabudu,kwa mantiki hiyo kukiwa na watoto watano wa kislamu watatu wakristo wawili wanahtaji nafasi kwenye shule ya kikristo kipao mbele unadhani kitakuwa kwa nani?imefka sasa mtoto wa kislamu aogope kuvalia mavaz ya kidini pindi anapoenda kutafta nafasi kwenye shule za kikristo kwani ataambiwa nafasi haipo kabla hata ya kupewa kiti,ilinitokea mwenyewe sintasahau.
......listern to ur self and use ur brain properly
 
wewe ndo umegawanyika......ujinga tu...we hao waliogawanyika unawaona wapi mbon sisi mitaani tuko poa tu...au unaishi msikitin au kanisani nini..?

Siafu dume mbona umejibu kienyeji mno mwenzako ame cite na shule kama za kina asas wewe badala ya kujibu hoja umerukaruka tu unachotakiwa ni kutoa ushuhuda wa kweli au si kweli au siku hizi unapiga za kienyeji nini?
 
Mbali na matatizo ya Kisiasa nchini na mgawanyiko wa mawazo ya muundo wa Katiba pamoja na mchakato wake.

Tofauti za Kidini zimeanza kuongezeka na zinakuwa kwa kasi kubwa sana. Sasa hivi tuna Sekondari ambazo dini mbili hazichanganyiki, tuna chuo kikuu cha kiislamu ambacho wakristu hawaingii kusoma hapo. Kuna shule ya sekondari pale Iringa ya mwarabu wa ASAS ambayo sasa dini tu haitoshi, bila kuwa Mhindi au mwarabu huingii kusoma.

Shule hizi siyo seminari. Ni shule za kawaida na hakuna sababu ya kubagua dini au rangi ya mtu.

Wasiwasi wangu ni kwamba hali hiyo inawaonyesha vijana wetu kwamba hawastahili kuchangayika. Wanasoma ktk mazingira hayo na hata itakapofika ktk ajira hawataweza kuchanganyika.

Wapi tunakokwenda? Tunaowaita viongozi wanaiona hali hii au ni faraja kwao?
ulianza kama mchezo wa kubaguana kisiasa baadae ukaenda kwenye dini sasa kuna shughuli pevu waburushi wanataka shule ya kwao wenyewe. hii ni kali zaidi
 
Mbona hausemi seminari za Wakirsto hawataki Waislam au wewe kwako hakuna tatizo wewe umeona chuo kikuu cha Morogoro tu.

Kaka yangu umeshasema seminari,Seminari za kikatoliki mwisho wa siku mwanafunzi anatakiwa kuwa kiongozi wa dini hiyo yaani PADRE na ndiyo sababu siyo dini tu bali hata dhehebu tofauti na wakatoliki hawawezi kuingia huko.Lakini shule za kawaida za sekondari zinazomilkiwa na Kanisa ukiachia seminari mwanafunzi anaingia kwa kuangalia uwezo wake kiakili.Mfano kuna shule tatu za kikatoliki zimejengwa maeneo yenye waislamu wengi ili kuwapa nafasi watoto hao kupata elimu lakini bahati mbaya waliopewa nafasi hizo hawakuzitumia vyema.Na hii ipo pia kwa Seminari zinazomilikiwa na taasisi za kiislamu watoto/wanafunzi wa dini nyingine hawawezi kupata nafasi hapo ila shule za kawaida zinazomilikiwa na taasisi za kislamu hata watoto wa kikristu wanapokelewa mfano Kindondoni Muslim.Kwa chuo kikuu sina uhakika nacho ila nafikiri kuna uwoga wawakristu kujiunga huko siwezi kukisemea.Ila vyuo vinavyomilikiwa na kanisa vinatoa nafasi bila ubaguzi.
 
Wewe ndiyo hakuna ulichoandika utakuwa umevurugwa kwa kiasi kikubwa mtu mwenye akili nzuri hawezi kuandika ubwabwa kama ulioandika.

yani wewe sasa ndio tatizo kabisa, hujaona kitu katika andiko la mchizi.
Udini ulifugwa na sasa umefunguliwa tubaguane rasmi. Zamani kidogo ilikuwa kuna kujificha.
 
acha ushamba ulichosema hapo ni matabaka na siyo kugawanyika ila matabaka ni constant mkuu huwez kwepa#waiter niongeze
 
Back
Top Bottom