MchunguZI
JF-Expert Member
- Jun 14, 2008
- 4,012
- 2,179
Mbali na matatizo ya Kisiasa nchini na mgawanyiko wa mawazo ya muundo wa Katiba pamoja na mchakato wake.
Tofauti za Kidini zimeanza kuongezeka na zinakuwa kwa kasi kubwa sana. Sasa hivi tuna Sekondari ambazo dini mbili hazichanganyiki, tuna chuo kikuu cha kiislamu ambacho wakristu hawaingii kusoma hapo. Kuna shule ya sekondari pale Iringa ya mwarabu wa ASAS ambayo sasa dini tu haitoshi, bila kuwa Mhindi au mwarabu huingii kusoma.
Shule hizi siyo seminari. Ni shule za kawaida na hakuna sababu ya kubagua dini au rangi ya mtu.
Wasiwasi wangu ni kwamba hali hiyo inawaonyesha vijana wetu kwamba hawastahili kuchangayika. Wanasoma ktk mazingira hayo na hata itakapofika ktk ajira hawataweza kuchanganyika.
Wapi tunakokwenda? Tunaowaita viongozi wanaiona hali hii au ni faraja kwao?
Tofauti za Kidini zimeanza kuongezeka na zinakuwa kwa kasi kubwa sana. Sasa hivi tuna Sekondari ambazo dini mbili hazichanganyiki, tuna chuo kikuu cha kiislamu ambacho wakristu hawaingii kusoma hapo. Kuna shule ya sekondari pale Iringa ya mwarabu wa ASAS ambayo sasa dini tu haitoshi, bila kuwa Mhindi au mwarabu huingii kusoma.
Shule hizi siyo seminari. Ni shule za kawaida na hakuna sababu ya kubagua dini au rangi ya mtu.
Wasiwasi wangu ni kwamba hali hiyo inawaonyesha vijana wetu kwamba hawastahili kuchangayika. Wanasoma ktk mazingira hayo na hata itakapofika ktk ajira hawataweza kuchanganyika.
Wapi tunakokwenda? Tunaowaita viongozi wanaiona hali hii au ni faraja kwao?