Kikao cha CHADEMA na wafadhili wake wa nje kupanga mikakati ya uchaguzi

Thatha uko wapi mkuu njoo muone mzee slaa alivyoshindwa kujibu hoja yako.
Anasema wamealikwa kwenda kusikiliza kutangazwa kwa matokeo ya uchaguzi,
halafu hasemi kwa nini wamebagua watu wa kwenda ,
hasemi kwa nini zito na shibuda wamepanga kuwafukuza ,
hasemi zile hela wanazolipwa wanafanyia nini make hata shimo moja la choo cha shule hawajajenga.
Tunajua mnaanda thread mkinusa kahabari mnakachakachua mnaitana na michango yenu mtoayo yenyewe ni ya mtu aliye aidha mnafiki na mwongo ama haelewi aandike nini. Nawaonea huruma waliowatunza kwa miezi 9.
Jifunzeni kwa alichosema waziri kijana Mahadhi ni cha kufurahisha kwa mwananchi yeyote mzalendo na akili timamu. Ndicho mwapaswa kufanya, otherwise mtalaaniwa milele. Tanzania imekuwa kwa asili kiwanda cha kuzalisha think tanks siyo empty writing boards.
 
Je ujio wa KONRAD ADENAUER STIPTUNG (KAS) hilo so ala la mausiano ya cdm kas so geni kiasi hicho.Siku nyingine ukija kuliongelea usiishie hapo tu, Bali uende mbele zaid kwa kuelezea mahusiano ya vyama vingine viwili vya kijeruman,(fes&fns)mahusiano yake na ccm na cuf.angalia duration ya mahusiano yao,alafu uje utueleze vizuri.
 
HUYU JAMAA NI MBAYA KWELI ANAJARIBU KUWAGONGANISHA VIONGOZI NDANI YA CDM <hatudanganyiki ngo!!>ila endapo shibuda ataondolewa hakutakuwa ubaya maana hatufahamu jinsia yake
 
Maccm bwana yanakera! Wewe thataha mbona hulioni kundule? Kutembea na mchina majukwaani akifanya kazi ya katibu mwenezi wa chama chako mchana kweupe huioni??? Unamwita john shibuda kuwa mtu mashuhuri, huo ni uharo mwingine wa maccm, kama ni mashuhuri kwa nini mlimsusa? Cdm forever
Machadema ni genge la wahuni
 
Tunajua mnaanda thread mkinusa kahabari mnakachakachua mnaitana na michango yenu mtoayo yenyewe ni ya mtu aliye aidha mnafiki na mwongo ama haelewi aandike nini. Nawaonea huruma waliowatunza kwa miezi 9.
Jifunzeni kwa alichosema waziri kijana Mahadhi ni cha kufurahisha kwa mwananchi yeyote mzalendo na akili timamu. Ndicho mwapaswa kufanya, otherwise mtalaaniwa milele. Tanzania imekuwa kwa asili kiwanda cha kuzalisha think tanks siyo empty writing boards.
Chadema wanamiliki kwanda cha majungu, kipo pale kinondoni manyanya. Ajira zipo wazi, wahi na vyeti vyako
 
umeandika uzi wewe mwenyewe kisha unajijibu wewe mwenyewe zaidi ya post 15 hapa zote ip address ni moja na password ni moja,

pole sana jionee aibu kijana, chadema itakupasua mshiba buree!
siasa bwana?
Kweli mtoa mada lazima ateteee awezavyo hata kama si kweli.
Jamaa anatumia nguvu kubwa.
 
WanaJF,Huu ni upuuzi mwingine kutoka kwa watu waliochaguliwa.1. Wafuatliaji wa mambo ya siasa wanajua kuwa tarehe 22 September, 2013 ni siku muhimu Ujerumani kwa kuwa ni siku ya Uchaguzi mkuu katika Taifa hili. Kwa Takriban wiki kadhaa kuna mchuano mkali Kati ya Chama cha CDU/CSU vinapambana vikali na chama cha SPD.2. Katika akili ya kawaida, chama hicho kilichoko kwenye mchuano mkali, au chenyewe au vyombo vyake Kama KAS siku hiyo hiyo ya uchaguzi vinaweza kuwa kwenye mood ya kufanya mkutano wa mkakati wa kuisaidia Chadema? Hata kama ni upotoshwaji, basi mwandishi angelitumia akili kidogo alizopewa na Mungu kuweka indigo ambalo linakaribiana na ukweli.3. Usiku wa Tarehe 1 September, 2013 baada ya kuhutubia Mkutano mkubwa wa Resident Representatives wa KAS wa nchi zote za Afrika na Middle East, pale Mount Meru Hotel, Mimi na Mhe. Zitto tulishiriki kufuatilia mdahalo Kati ya Angela Merkel wa CDU na Mpinzani wake wa SPD uliokuwa unaonyeshwa live na TV ZDF ya Ujerumani. Tulikuwa waafrika tusio wafanyikazi wa KAS 2 tu kwa kuwa mdahalo ulifanyika kwa lugha ya Kijerumani.4. Ni kweli siku hiyo ya 22 September, 2013 viongozi wa Chadema tumealikwa kushuhudia mchakato wa uchaguzi na hasa katika hatua ya kutangaza matokeo katika Jengo la Umoja House, Dar-Es Salaam. Kitendo hiki ni cha kawaida kwa wenzetu kushiriki pamoja na marafiki, kufurahia pamoja na marafiki matokeo ya uchaguzi Mkuu. Cha ajabu ni nini hapo nani hajui kuwa Chadema inaurafiki na Chama cha CDU kupitia chombo chake cha ushirkiano na vyama marafiki KAS ambayo inafanya kazi katika nchi takriban 100 duniani. KAS miongoni mwa malengo yake ni kutoa mchango kukuza demokrasia Kama ilivyoasisiwa na aliyekuwa Chancelor wa Ujerumani baada ya vita vikuu vya 2 vya dunia. Kama ambavyo KAS inashirikiana. Na Chadema ,chama cha SPD kinashirikiana na CCM. Ni u- mbumbumbu au ushabiki tu, au tabia ya uwongo iliyokithiri ya mleta Uzi kutaka kupotosha malengo ya mkusanyiko huo wa 22 September, katika jengo la Umoja House. Kama tungelikuwa tunafanya mkutano wa mkakati, basi angalau kikao hicho kingelifanyika pengine na siyo katika jengo la Ubalozi, kwani sheria za Ujerumani haziruhusu kabisa Ubalozi kujishirikisha moja kwa moja kwenye shughuli za kisiasa, na hata KAS kwa sheria za Ujerumani hairuhusiwi kujiingiza kwenye mikakati ya kuisaidia ChDema ishinde uchaguzi. KAS inashirikiana na Chadema katika kujenga uwezo ( capacity building) ya viongozi kwa njia ya mafunzo mbali mbali jambo ambalo CCM nayo inanufaika kutoka chombo cha Fredrick Eberhart Stiftung ambayo ni chombo cha SPD. 4. Ni Imani yangu kuwa wote wenye nia njema wataingia kwenye mitandao kujisomea jinsi vyombo hivyo vinavyofanya kazi na sheria zinazowaongoza, badala ya kupoteza muda wao kwenye upuuzi huu wa mleta thread.
Unadhani watz ni wajinga??? Unachojaribu kufanya hapa ni kupotosha ukweli lakini fahamu kila hatua ovu unayofanya kwenye giza inaonekana na imejulikana. Hicho kikao kipo, uchaguzi wa ujerumani hauwezi kuzuia maafisa wake kuendelea na shughuli zingine km hizi za kuhakikisha chadema inaingia madarakani japo ni ndoto ya mchana. Ww kuwa na zito ni urafiki wa kinafiki tu
 
Juzi Mwenyekiti wa CHADEMA ameishitaki China kwa balozi wake kushiriki mkutano na CCM na kuvaa kofia ya kijani. Tarehe 22 September 2013, CHADEMA wamealikwa kweenye jengo la Ubalozi la ujerumani kufanya kikao na KAS ambayo inamilikiwa na CDU ambayo chama cha utawala huko ujerumani. Hapa wadau imekaa vipi? kule wao wanashutumu ccm, huku wao wanafanya kilekile wanachoshutumu. makubwa haya. Dr Slaa bora asiwe anajibu maana kila akijibu anaacha maswali mengi na hasa kukiumbua chama chake
 
Na hao KAS wa Chadema nao wajitokeze hadharani kama kweli wanajema na Tanzania yetu.

Naunga mkono hoja, waweke mambo hadharani kama mchina alivyong'aa stejini....hahaha wameishiwa machadema wanatafuta pa kutokea....mtahangaika sana na hiyo VIENA
 
OK WELL DONE WAHII LUMUMBA KAKAMATE CHAKO...AKILI DHAIFU LIKE KUKU

1.png
[/QUOTE]
 
YA UGADI,UKABILA,UANZISHAJI WA VIKUNDI VYA KUJIHAMI,,FITINA ZIMEWASHNDA MMEKUJA NA NYINGINE ILI TUSAHAU YA HUYO KADA WENU WA KICHINA ,MMEMPONZA MWENZENU NEPI UMEONA SASA BAN-KING MOON ASHAPEWA BARUA..THAT WHY IAM SAYING
W X Y Z

Logic will get you from A to B. Imagination will take you everywhere
 
Chadema wanamiliki kwanda cha majungu, kipo pale kinondoni manyanya. Ajira zipo wazi, wahi na vyeti vyako

Hicho unachojadili ni fact, majungu ama kiherehere. Nadhani namsikitikia alitekuleta duniani iwe alikusudia ama kwa bahati mbaya yaani alikuwa akistarehe. Hata Mungu aliyewaumba analia kuona ameruhusu viumbe wasiostahili kuja duniani
 
slaa ktuko kweli kumbe mkutano wenyewe wanafanyia ofisi za ubarozi wa ujerumani sijui anapinga nini na kukubari nini.
 
Juzi Mwenyekiti wa CHADEMA ameishitaki China kwa balozi wake kushiriki mkutano na CCM na kuvaa kofia ya kijani. Tarehe 22 September 2013, CHADEMA wamealikwa kweenye jengo la Ubalozi la ujerumani kufanya kikao na KAS ambayo inamilikiwa na CDU ambayo chama cha utawala huko ujerumani. Hapa wadau imekaa vipi? kule wao wanashutumu ccm, huku wao wanafanya kilekile wanachoshutumu. makubwa haya. Dr Slaa bora asiwe anajibu maana kila akijibu anaacha maswali mengi na hasa kukiumbua chama chake
Ndio wamekufunza kutoa mawazo haya hata mwanangu wa Nursery
 
Unadhani watz ni wajinga??? Unachojaribu kufanya hapa ni kupotosha ukweli lakini fahamu kila hatua ovu unayofanya kwenye giza inaonekana na imejulikana. Hicho kikao kipo, uchaguzi wa ujerumani hauwezi kuzuia maafisa wake kuendelea na shughuli zingine km hizi za kuhakikisha chadema inaingia madarakani japo ni ndoto ya mchana. Ww kuwa na zito ni urafiki wa kinafiki tu

utaifa kwanza!!!!!!!!!!!!!!!!!?????????

UOVU UPO CCM NA SIYO CHADEMA.

TUKIKUULIZA ISSUE KAMA HIZI UNAWEZA KUSEMA LOLOTE LA MAANA ILI WATANZANIA TUKUELEWE?

MADAWA YA KULEVYA HADI IKULU au HUJUI ...WAHUSIKA NI CCM au CDM?

RICHMOND...WAHUSIKA NI CCM au CDM?

DEEP GREEN...WAHUSIKA NI CCM au CDM?

MEREMETA...WAHUSIKA NI CCM au CDM?

STAR TIMES....WAHUSIKA NI CCM au CDM?

MAUAJI YA WATU WASIYO NA HATIA...WAHUSIKA NI CCM au CDM?

KESI KIBAO KWA WAPIGANIA HAKI...WAHUSIKA NI CCM au CDM?

UTEKAJI...WAHUSIKA NI CCM au CDM?

KUJIMILIKISHA MALI ZA UMMA...WAHUSIKA NI CCM au CDM?

WIZI WA MCHANA MIGODINI NA KWENYE MBUGA ZA WANYAMA ...WAHUSIKA NI CCM au CDM?

KULINDANA KUNAKORATIBU WIZI WA MALIASILI ZA NCHI...WAHUSIKA NI CCM au CDM?

WACHINA KILA KONA HADI VIJIJINI WAKIFANYA KAZI ZA KUOSHA VYOMBO
...WAHUSIKA NI CCM au CDM?



NAKUOMBA UKALALE TU.You have nothing to urge......
 
Maccm bwana yanakera! Wewe thataha mbona hulioni kundule? Kutembea na mchina majukwaani akifanya kazi ya katibu mwenezi wa chama chako mchana kweupe huioni??? Unamwita john shibuda kuwa mtu mashuhuri, huo ni uharo mwingine wa maccm, kama ni mashuhuri kwa nini mlimsusa? Cdm forever

soma majibu ya slaa uone ulivyojitukana slaa amesema kikao hicho watafanyia kwenye jengo la kibarozi wa ujerumani.
 
Back
Top Bottom