Kwani CHADEMA ikisambaratika si ndio ahueni kwenu au? Mbona mnaingiwa woga sasa? mi nlitegemea mngekaa kimya ili hayo yatokee msherehekee..!
Kama ni makapi mbona ni wengi? Inauma!Katibu mkuu alishasema hayo ni makapi,hukusikia?
Kama ni makapi mbona ni wengi? Inauma!Katibu mkuu alishasema hayo ni makapi,hukusikia?
Kinachosikitisha bado kuna watu wako gizan na bado hawaon kama wapo gizan
mi nilijuwa saa 4 asubuhi, duh!
Duuu, mama yangu eeeeh!!!!