Natafuta mchumba wa kike

Sema vizuri kazi ---- bana.. Sekta ya umma ndo nini? Hujui hata health attendant nae anaajiriwa na sekta ya umma? Pamoja nakua na elimu ya msingi?
 
miss chagga unataka kujua asset nilizo nazo ni nyingi mno kuzitaja hapa sio vxur ukizingatia npo kwenye kutafuta kwaiyo aliyetayari na mm mambo ya mali na ofisi yangu atayajua
 
kazi katika wizara nyeti sio uko unapofikiria ww mkuu na kipato usiwe na ofu dada yangu mpaka nimetangaza nia ujue ninauwezo wa kukumudu na kukutunza
 
Duh! Ngoja waje utawapata tu! Mm natafta mpenzi c mchumba! Uchumba utakuja baadae!!
 
mpaka ss hamna hata mmoja aliye ni inbox cjui tatizo nn wakina dada bahati kama izi huwa haziji mara mbili dada zangu
 
Ikifika usiku nenda mitaa ya kinondoni makaburini au Sinza, natumaini tatizo lako litakuwa solved
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom