Wlnaoburuzwa wapo sasa hivi kwenye bunge la katiba ambao siku zote huwa wanaitwa kwenye party caucus kuambiwa cha kufanya bila majadiliano.
Mbunge wa viti maalum chadema na mujumbe wa bunge maalum la katiba ( mjumbe wa ukawa) amerudi bungeni kuendelea na vikao vya bunge maalum tupate katiba mpya. Hongera sana leticia. Taifa kwanza, vyama baadae
source: itv habari saa mbili kamili usiku
Mods, wamekuja kuuficha huu uzi huku, teh teh teh
Jinsia inaingiaje hapa?
Mbunge wa Viti maalum kupitia CHADEMA Mh.Leticia Nyerere kwa mujibu wa ITV habari usiku huu ameonyeshwa na amesaini kitabu cha Mahudhurio ndani ya Bunge maalum La Katiba ikiwa ni kinyume na Msimamo wa CHADEMA kwa wajumbe wake kutohudhuria vikao hvyo.
Ni dhahiri sasa Leticia ameonyesha sura yake halisi kutokana na matendo yake ndani ya Chama kwa kutoheshimu maamuzi ya Vikao halali vya chama.
Ni wakati sasa wa Chama kumchukulia hatua kali za kinidhamu ikiwemo kuvuliwa uanachama.
Wazalendo wote wapambanaji wa kweli..!
mwanajeshi akiasi jeshi adhabu yake ni nini?
Chanzo.tarifa ya habari ya ITV leo
*************************************************