Habari wakuu, nina kiofisi changu, nataka kununua Router unlimited ya Airtel, ambapo wana categories, wanaanzia bando ya 70,000 kwa mwezi ambayo ni Unlimited na Speed yake ni 10Mbps.
Ama nilipie ya 110,000 ambayo kila mwezi takua nalipia iyo 110k na Speed ni 20Mps.
Naomba Ushauri, ili...
Habari wadau!
Naomba kqa yoyote anaefahamu Chimbo wanapouza Tv Flat Screen kwa bei ya Jumla.
Nazungumzia Brand za bei ya mtanzania kama Aborder, Sundar, Star X na Alitop.
Ahsante
Habari wafanyabishara,
Naomba kupata Experience kidogo kwa wale waliowahi kufanya matangazo either ya redio ama mtandaoni.
Kipi Bora na kinaleta matokeo ya haraka, Kutangaza Biashara mtandaoni kwa kulipia ama Kutumia Local radio kutangaza biashara yako.
Chukua mfano una bajet ya Laki tano...
Habari wanajamvi, Mimi niko mkoa X, ni mjasiriamali na kazi zangu zinategemea sana Mtandao. Sasa hivi karibuni nimehamia Kwenye Ofisi mpya.
Hapa nilipohamia nikiingia tu Ofisini mtandao unasoma "EGDE (E)" Nikitoka Nje unasoma "LTE"
Naomba Msaada Jinsi gani naweza kufanya isome LTE.
Natumia...
Hii imekaaje wadau!
Jana nimekamatwa na Polisi, Wakidai kuna mzee ameibiwa Simu aina ya Samsung S10 mnamo tarehe 17-Dec-2022. Yule mzee kapeleka IMEI yake polisi pale wameangalia wameona namba ya kwanza kutumia ile simu ilikua ni line yangu mimi.
Ni kitu kisicho cha Kweli maana mimi sijawahi...
Habari WanaJamvi, Kuna ishu moja inanitatiza nataka kuuliza.
Hivi kwenye biashara tukisema "MTAJI" tunaamisha nini?
Ni hela ile inayozunguka tu katika biashara kwa mfano umenunua Mzigo wa laki tano ukawa unazungusha?
Ama mtaji ni jumla ya vitu vyote vilivyomo kwenye biashara? Na Vipi kuhusu...
Habari wataalamu, Naomba kuuliza nawezaje kuongeza Redio kwenye Kingamuzi changu cha star times. Kwa ambazo ni Tbc Fm na Tbc taifa, nataka niongeze Clouds Fm, wasafi fm, n.k
Inawezekana?
Habari zenu wanajamvi, hivi karibuni nilifanikiwa Kujaza Fomu za kujiunga na huduma ya "Tigo Business"
Leo wiki moja imepita bado sijaungwa, kila nikimuuliza wakala alieniunga anasema kuna tatizo la kimtandao na wanashughulikia,
Naomba kuuliza kuna aliyefanya maombi Kujiunga hizi karibuni...
Habari wakulungwa,
Naomba maoni yenu, Nina Group la Facebook lina members zaidi ya elf 10 sasa. Mule watu wanapost biashara , wanaotafuta kazi, wanaotafuta wafanyakazi, Wanaouza vitu vya ndani, wanaotafta wachumba n.k..
Sasa nataka kuanzisha Mfumo wa kila mwanachama kulipia Ada ya kila Mwezi...
Habari wana JF,
Naomba Ushauri, Mimi ni Muhanga wa Kutokukaa na Pesa, ama nikipata pesa zinaisha bila kufanya kitu cha maana au kitu cha kuonekana.
Nimejitahidi saana Kuweka bajeti ya Mwezi nakuifata lakini nashindwa, najitahidi kuweka kumbukumbu ya matumizi yote ya siku ila nafanya kwa siku 2...
Habari wana JF
Naomba Ushauri, Mimi ni Muhanga wa Kutokukaa na Pesa,ama nikipata pesa zinaisha bila kufanya kitu cha maana au kitu cha kuonekana.
Nimejitahidi saana Kuweka bajeti ya Mwezi nakuifata lakini nashindwa, najitahidi kuweka kumbukumbu ya matumizi yote ya siku ila nafanya kwa siku 2...
Nauza Laptop za Mtumba Bei Nzuri
Bei zinaanzia 375,000/=
Tunapatkana Kahama na Mwanza Wateja wa Mikoa ya Jiran tunakutumia kwa uaminifu mkubwa.
Nichek wasap kwa picha zaidi
0627953664
Leo naomba kupata maoni Juu ya biashara ya kununua na kuuza Vitu Used vya majumbani mfano Furnitures, Vyombo, TV, Vingamuzi, Fridges, vitanda, magodoro n.k...
Kuna watu ambao wanahama mikoa, wanahamishwa kikazi na wale ambao Wanauza Vitu vyao Kwakua wanashida na pesa ya haraka. Watu hawa...
Nawasalimu kwa jina la muungano wa Jamhuri ya Tanzania,
Nimekua nikifatilia threads mbalimbali za biashara humu, Wengi naona wanasema ili kuingiza faida kubwa Kwa siku basi ni lazima Uwe na Mtaji Mkubwa, wengine walitoa mifano ya Anaemiliki duka la hardware ana mtaji nkubwa lakini hafikishi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.