Shomary47
JF-Expert Member
- Feb 12, 2021
- 224
- 348
Habari wanajamvi, Mimi niko mkoa X, ni mjasiriamali na kazi zangu zinategemea sana Mtandao. Sasa hivi karibuni nimehamia Kwenye Ofisi mpya.
Hapa nilipohamia nikiingia tu Ofisini mtandao unasoma "EGDE (E)" Nikitoka Nje unasoma "LTE"
Naomba Msaada Jinsi gani naweza kufanya isome LTE.
Natumia Mtandao wa TIGO
Hapa nilipohamia nikiingia tu Ofisini mtandao unasoma "EGDE (E)" Nikitoka Nje unasoma "LTE"
Naomba Msaada Jinsi gani naweza kufanya isome LTE.
Natumia Mtandao wa TIGO