Nini maana ya mtaji?

Shomary47

JF-Expert Member
Feb 12, 2021
224
348
Habari WanaJamvi, Kuna ishu moja inanitatiza nataka kuuliza.

Hivi kwenye biashara tukisema "MTAJI" tunaamisha nini?

Ni hela ile inayozunguka tu katika biashara kwa mfano umenunua Mzigo wa laki tano ukawa unazungusha?

Ama mtaji ni jumla ya vitu vyote vilivyomo kwenye biashara? Na Vipi kuhusu kodi ya pango, kodi ya Serikali n.k vyenyewe havimo kwenye mtaji?
 
Habarni Wana Jamvi, Kuna inshu moja inanitatiza nataka kuuliza.
Hivi kwenye biashara tukisema "MTAJI" tunaamisha nini ?

Ni hela ile inayozunguka tu katia biashara kwa mfano umenunua Mzigo wa laki tano. Ukawa unazungusha ?

Ama mtaji ni jumla ya vitu vyote vilivyomo kwenye biashara? Na Vp kuhusu kodi ya pango, kodi ya serikali n.k vyenyewe havimo kwenye mtaji?
 
Habarni Wana Jamvi, Kuna inshu moja inanitatiza nataka kuuliza.

Hivi kwenye biashara tukisema "MTAJI" tunaamisha nini?

Ni hela ile inayozunguka tu katia biashara kwa mfano umenunua Mzigo wa laki tano. Ukawa unazungusha?

Ama mtaji ni jumla ya vitu vyote vilivyomo kwenye biashara? Na Vp kuhusu kodi ya pango, kodi ya serikali n.k vyenyewe havimo kwenye mtaji?
Jumuisha vyote vitakavyohusika kwenye biashara tarajiwa, wengi wanafeli ama wamefeli kwa kudhani pesa ya mtaji ni ile ya mzigo tuu
 
Mtaji au Capital unaweza wekwa katika makundi mawili,Operating Capital na Non Operating Capital. Kwa kawaida unapotaka kukokota mtaji ni lazima uchukue Assets zote zinamilikiwa mfano ardhi,nyumba,stock ya mzigo na pia unaweza kuongeza watu unaowadai,salio la kodi ya pango,fedha taslim na kisha uondoshe madeni yote unayodaiwa ile inayosalia unaweza sema Ndio mtaji wako.Mtaji wako unaweza kukua au kupungua kwa kutegemea utendaji wa biashara yako.

Kumbuka kwamba kuwa na Asset nyingi ambazo hazizalishi(Non-performing Assets) ni hatari kwa afya ya biashara yako.
 
Mtaji au Capital unaweza wekwa katika makundi mawili,Operating Capital na Non Operating Capital. Kwa kawaida unapotaka kukokota mtaji ni lazima uchukue Assets zote zinamilikiwa mfano ardhi,nyumba,stock ya mzigo na pia unaweza kuongeza watu unaowadai,salio la kodi ya pango,fedha taslim na kisha uondoshe madeni yote unayodaiwa ile inayosalia unaweza sema Ndio mtaji wako.Mtaji wako unaweza kukua au kupungua kwa kutegemea utendaji wa biashara yako.

Kumbuka kwamba kuwa na Asset nyingi ambazo hazizalishi(Non-performing Assets) ni hatari kwa afya ya biashara yako.
Asante sana kaka .
 
Mtaji au Capital unaweza wekwa katika makundi mawili,Operating Capital na Non Operating Capital. Kwa kawaida unapotaka kukokota mtaji ni lazima uchukue Assets zote zinamilikiwa mfano ardhi,nyumba,stock ya mzigo na pia unaweza kuongeza watu unaowadai,salio la kodi ya pango,fedha taslim na kisha uondoshe madeni yote unayodaiwa ile inayosalia unaweza sema Ndio mtaji wako.Mtaji wako unaweza kukua au kupungua kwa kutegemea utendaji wa biashara yako.

Kumbuka kwamba kuwa na Asset nyingi ambazo hazizalishi(Non-performing Assets) ni hatari kwa afya ya biashara yako.
Naona wamekugusa kwenye fani yako umemwaga madini kitaalamu zaidi
 
Back
Top Bottom