Kuna duka linaitwa ashariki lipo Ndanda na Masasi wanauza 245 nchi 32Habari wadau!
Naomba kqa yoyote anaefahamu Chimbo wanapouza Tv Flat Screen kwa bei ya Jumla.
Nazungumzia Brand za bei ya mtanzania kama Aborder, Sundar, Star X na Alitop.
Ahsant
Reja mkuuHii ni rejareja sio jumla