Shomary47
JF-Expert Member
- Feb 12, 2021
- 224
- 348
Habari wakuu, nina kiofisi changu, nataka kununua Router unlimited ya Airtel, ambapo wana categories, wanaanzia bando ya 70,000 kwa mwezi ambayo ni Unlimited na Speed yake ni 10Mbps.
Ama nilipie ya 110,000 ambayo kila mwezi takua nalipia iyo 110k na Speed ni 20Mps.
Naomba Ushauri, ili kupunguza garama ni heri nijichange nichukue ya 10Mps ambayo kila mwezi takua nalipia 70,000 ama nichukue ya 110,000 ambayo kila mwezi takua nalipia 110,000.
Ama nilipie ya 110,000 ambayo kila mwezi takua nalipia iyo 110k na Speed ni 20Mps.
Naomba Ushauri, ili kupunguza garama ni heri nijichange nichukue ya 10Mps ambayo kila mwezi takua nalipia 70,000 ama nichukue ya 110,000 ambayo kila mwezi takua nalipia 110,000.