Shomary47
JF-Expert Member
- Feb 12, 2021
- 224
- 348
Habari wana JF
Naomba Ushauri, Mimi ni Muhanga wa Kutokukaa na Pesa,ama nikipata pesa zinaisha bila kufanya kitu cha maana au kitu cha kuonekana.
Nimejitahidi saana Kuweka bajeti ya Mwezi nakuifata lakini nashindwa, najitahidi kuweka kumbukumbu ya matumizi yote ya siku ila nafanya kwa siku 2 siku ya 3 nasahu.
Kwa Mwezi kwenye mihangaiko yangu naweza pata faida mpaka ya 1,300,000 kwa mujibu wa daftari langu ka mauzo, Lakini mwisho wa mwezi ukiniuliza hiyo pesa iko wapi naweza nisiwe nayo, ama inakua imebaki kodogo saaana.
Naomba Ushauri, Nifanye nini ili pesa ninazopata kwenye mihangaiko yangu mwisho wa mwezi niione Yote mezani. Natanguliza Shukrani.
Naomba Ushauri, Mimi ni Muhanga wa Kutokukaa na Pesa,ama nikipata pesa zinaisha bila kufanya kitu cha maana au kitu cha kuonekana.
Nimejitahidi saana Kuweka bajeti ya Mwezi nakuifata lakini nashindwa, najitahidi kuweka kumbukumbu ya matumizi yote ya siku ila nafanya kwa siku 2 siku ya 3 nasahu.
Kwa Mwezi kwenye mihangaiko yangu naweza pata faida mpaka ya 1,300,000 kwa mujibu wa daftari langu ka mauzo, Lakini mwisho wa mwezi ukiniuliza hiyo pesa iko wapi naweza nisiwe nayo, ama inakua imebaki kodogo saaana.
Naomba Ushauri, Nifanye nini ili pesa ninazopata kwenye mihangaiko yangu mwisho wa mwezi niione Yote mezani. Natanguliza Shukrani.