Biashara ya kununua na kuuza vitu used

Shomary47

JF-Expert Member
Feb 12, 2021
224
348
Leo naomba kupata maoni Juu ya biashara ya kununua na kuuza Vitu Used vya majumbani mfano Furnitures, Vyombo, TV, Vingamuzi, Fridges, vitanda, magodoro n.k...

Kuna watu ambao wanahama mikoa, wanahamishwa kikazi na wale ambao Wanauza Vitu vyao Kwakua wanashida na pesa ya haraka. Watu hawa watakuja kwako Kukuuzia hivi vitu kwa bei ya hasara.

Wanunuzi wa Vitu hivi watakua ni watu wa Maisha ya kati na Ya chini, Watu wenye vipato vya chini na kati. Wateja hapa utawapata kulingana na marketing strategies zako.

Naomba kujuzwa wa wanaofanya biashara ya namna hii, mambo muhimu kuzingatia ili usiingie kwenye mtego wa kununua na kuuza vitu vya wizi, faida za biashara zikoje na mambo mengine ya kuzingatia ambayo mtu anaetaka kuanza biashara hii anapaswa afanye.
 
Il ue na aman na biashara yako kachukue lesen ya auction il ue safe side kias flan bila ivyo ue na namba za Ocs kwa msaada zaid pale wananzengo watakapo kufata kwamba una genge la wez linalokufanikishia biashara yako Though n biashara yenye faida
 
Il ue na aman na biashara yako kachukue lesen ya auction il ue safe side kias flan bila ivyo ue na namba za Ocs kwa msaada zaid pale wananzengo watakapo kufata kwamba una genge la wez linalokufanikishia biashara yako Though n biashara yenye faida
Namba ya OCD tena ndugu, Kunakua na utaratibu maalumu mtu anaekuj kuuza kitu chake kunakua na mkataba maalumu ili kama ni mali ya wizi mimi niwe safe. Mkataba utaweka wazi vielelezo vyote vya muuzaji. Sasa comment yako imekaa ki negative sana.
Anyway thanks
 
Naomba mdiscuss upya wakuu hasa namna ya kuepuka vitu vya wizi na namna ya huo mkataba
 
Back
Top Bottom