Shomary47
JF-Expert Member
- Feb 12, 2021
- 224
- 348
Habari wafanyabishara,
Naomba kupata Experience kidogo kwa wale waliowahi kufanya matangazo either ya redio ama mtandaoni.
Kipi Bora na kinaleta matokeo ya haraka, Kutangaza Biashara mtandaoni kwa kulipia ama Kutumia Local radio kutangaza biashara yako.
Chukua mfano una bajet ya Laki tano 500,000 kwa mwezi, Kipi kitaleta matokeo ya Haraka Yaani upate mauzo mengi ndani ya mwezi mmoja. Ulipie mtandao ukutangazie ama Ulipie Radio ukutangazie. ??
Naomba kupata Experience kidogo kwa wale waliowahi kufanya matangazo either ya redio ama mtandaoni.
Kipi Bora na kinaleta matokeo ya haraka, Kutangaza Biashara mtandaoni kwa kulipia ama Kutumia Local radio kutangaza biashara yako.
Chukua mfano una bajet ya Laki tano 500,000 kwa mwezi, Kipi kitaleta matokeo ya Haraka Yaani upate mauzo mengi ndani ya mwezi mmoja. Ulipie mtandao ukutangazie ama Ulipie Radio ukutangazie. ??