Habari wana JF,
Wanaohitaji kufanya biashara ya kuuza mikate, kuna seti ya mashine zinauzwa Mjini Dodoma. Mixer kilo 25, Oven deki 3, na bread slicer. Mashine zote zipo order. Bei maelewano.
Napatikana kwa namba 0717237845 au 0767578984.
Karibuni waungwana, natanguliza shukrani.
Habari wana JF,
Jamani wadau naomba mnisaidie kama kuna yeyote ambaye anafahamu salary packages za hawa jamaa wa Save the children International organisation maana kuna kazi yao moja hivi nimeomba. Tafadhalini wakuu naomba msaada kwa mwenye idea. Natanguliza shukrani
Habari wana JF,
Naomba kupatiwa ufafanuzi, tatizo la mdomo kuwa mchungu linasababishwa na kitu gani, maana ni siku ya pili sasa. Naomba msaada wenu pleaseeeeee.
CONDOM - care of luv
PREGNANCY - proof of luv
SEX - experience of luv
BREAST - shape of luv
KISS - heat of luv
VGNA - depth of luv
PENIS - length of luv
AIDS - ?????????????????????????
Wanaume wanaumwa ugonjwa maarufu unaitwa 'I want that taste Disease' hatutosheki...Utakuta mtu ana mke mzuri,unywele hadi mgongoni,shape kama kachorwa na bikari,kamuoa yuko home lakini akiwa nje ukipepe kama kawa,na anacheat na mwanamke ambaye wengine hata huelewi kafuata nini maana wako below...
Eti mimi nataka Mwanaume awe mtanashati,awe Na Kazi yake ya
Kueleweka, awe na Pesa,awe amesoma soma May Be Chuo hivi hapo Sawa Vingnevyo tupa Kulee, Wewe Mbona umeishia Darasa la saba? hata Chuo Cha Unesi kimekushinda!! unadhani kusoma Kazi rahisi eeh??? Pesa zimekushinda Kutafuta unamuwazia...
KWA WASICHANA MKICHUKIA SAWA TU:Mgongo" Umechanjwa chanjwa Kama
Mganga Wa Kienyeji Bado Unavaa Kinguo kinaacha mgongo wazi,Mguu" Umekomaa Kigimbi hicho Kama mcheza mpira wa miguu, "Eti nawe kimini kila siku",Kingereza" Kibovu, unajidai Kila sentensi kutupia 'Yes' 'No' 'I wish' 'May Be'. hahaha...
Stolen Somwea
Una miaka zaidi ya 30 hujui gharama ya kitu chochote zaidi ya BBM PARTY, BEACH PARTY na sijui nini BASH, Hujui bei ya mchele wala unga, wewe unajua bei ya
BUNDLE, SUPRA, WIGI na CHIPS YAI,
Wenzako wanawaza HELA na KAZI, wewe unawaza pakuche ukaazime NGUO, CD kisha ujiunge na XTREME...
Habari za leo wadau wa jukwaa la JF Doctor, mwenzenu nilikua na muda mrefu sana sijafanya ngono kama miaka sita hivi, sasa nimepiga show ya kufa mtu na dada fulani hapa majuzi. tangu baada ya mechi hiyo nimekua najisikia vitu ambavyo sivielewi kabisa mwilini mwangu. Najisikia kama vitu vinachoma...
habari wadau, hawa jamaa wanaitwa Data Aid walitangaza kazi za research assistant mikoa kibao hivi karibuni tukawa tumeomba.. sasa wakatutumia sms wakisema tumeshapata nafasi ila tutume 10,000 kwa njia ya MPESA kwaajili ya maandalizi ya training kabla ya kazi.. tumeshatuma hizo pesa ndo...
Habari wana JF,
Nimeitwa kny usaili na hawa jamaa wa Access Bank Mwanza niliomba tu kama Bank officer, nimesikia tetesi kwamba hawa jamaa hamna kitu kabisa kwenye ulipaji. Ntashukuru kama ntapata details kwa mtu anaefahamu chochote kuhusu hawa watu. Shukrani
Habari wanaJF,
Ninaomba tucheze mchezo unaitwa "wa mwisho ndo mshindi". Ni mchezo rahisi sana, unaanzisha sentensi kwenye neno la mwisho la sentensi aloandika mwenzako.
Mfano:
Ualimu Tanzania ni kazi ngumu kiasi
Kiasi ambacho kama hukuzoea maisha ya tabu, utalalama kila siku
Siku uianze...
Mwizi wa atm
Jamaa aliibiwa kadi yake ya benk akaulizwa kama ameripoti polisi akajibu "sijaripoti bado, mwizi mwenyewe hamfikii matumizi kama mke wangu.
Cheka kidogo
Njia rahisi kusahau matatizo yako (japo kwa muda mfupi) vaa viatu vinavyokubana.
Mlizi mbio mbio
Tulikuwa bar...
Hawa jamaa wamebarikiwa sana, yani ni werevu, wajanja, wana busara, wana nguvu, ni wachapakazi, wanajiamini, ni viongozi, wanajituma, alafu wanahela na wanampenda Mungu. Yaani wahaya wamebarikiwa sana. Proud 2b one of them. Thanks God
nIMEONA vinega wametoa review ya track zitakazokuwamo kny antivirus volume three kupitia swahilioriginal.com: The Leading Swahili Original Site on the Net ingia humo ndani usikilize hizo ngoma.. naona ruge katukanwa kama kawa.. wanamuita Ruge Kahaba.. kweli hawa jamaa wamemchoka huyu bwana...
Mwajiriwa: Boss umeniita?
Boss: Yeah,nimekuita nenda
kapige punyeto
mwajirira: (baada ya mda
mfupi): sawa boss,tayari
nimepiga. Boss:Nenda kapige tena.
Mwajiriwa: tayari
nimeshapiga tena
Boss: Nenda kapige tena
mara ya mwisho.
Mwajiriwa: Boss nimeishiwa hadi
nguvu,sina uwezo tena
wa...
Jamaa alinunua friji jipya, akawaza namna ya kuondokana na lile la zamani basi hatimae akaliweka nje ya nyumba yake na kuandika kibao ANAE TAKA KUCHUKUA ACHUKUE BURE. Watu wakawa wanapita wanafungua lakini kila mtu akawa anaogopa kuchukua maana hakuna aliyeamini mtu anaweza akagawa friji...
Kny link ifuatayo hapa chini ni wanamuziki mamilionea bongo mwaka 2008 kutoka katika blogu ya kaka Michuzi
Anaongoza Lady Jay dee Mil. 500 na wa kumi ni Mwana FA Mil. 50 duuu
MICHUZI: wasanii mamilionea wa bongo
NICK MINAJI WA YOUNG MONEY JANA ALIINGIA KNY TUZO ZA GRAMMY AKIWA AMEVAA KAMA SISTA HUKU YUKO NA KIBABU FULANI KIMEVAA KAMA PAPA KABISA... ANGALIA PICHA KNY ATTACHMENT.. HUU NI UHUNI NA UDHALILISHAJI WA DINI YA WAKATOLIKI.. ALAFU HAWA YOUNG MONEY WANAJIONA WAMESHAWEZA SANA MAISHA.. WAKATI HAYO...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.