Mashine za Bakery zinauzwa

Mashine za Bakery zinauzwa

Wambuzi

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2011
Posts
558
Reaction score
336
Habari wana JF,

Wanaohitaji kufanya biashara ya kuuza mikate, kuna seti ya mashine zinauzwa Mjini Dodoma. Mixer kilo 25, Oven deki 3, na bread slicer. Mashine zote zipo order. Bei maelewano.

Napatikana kwa namba 0717237845 au 0767578984.

Karibuni waungwana, natanguliza shukrani.
 
funguka bei tufanye biashara kama bado zipo mkuu,..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom