Habarini wanajamvi. Nimekua nikisumbuliwa na wadudu wanaofukua udongo na kutengeneza mashimo kiasi ambacho jiran yangu ukuta wa nyumba yake umebomoka kwa kutitia, maana wale wadudu wanafukua chini kwa chini. Mwenye Suruhisho la tiba ya jinsi ya kuwadhibiti hao wadudu anisaidie plz kabla...
TOYOTA COROLLA RUMION
Color: BLACK
Mileage: 58800 km
Steering: Right
Transmission: AT General
Fuel: GASOLINE
Drive System; 2WD
Doors: 5DD
Displacement: 1490cc
CIF PRICE; 16 m
Music system: Android
Contact: +255755906255 Whatsp
Wakubwa habari za majukum. Kumekuwa na mgogoro mkubwa kwa majirani zangu ambao wanagombania mti wa mnazi mkubwa ambao ulikua unauwezo wa kuzalisha nazi.
Jirani mmoja kati yao akaamua kuukata huo mnazi mwisho wa jirani wa pili amefika na kugundua kuwa mti wa mnazi umekatwa na kuzua taharuki ya...
Nawasalim ktk jina la jamuhuri.
Binafsi nimekua na tatizo la kupatwa madonda ya kooni (tonsels) kwa muda mrefu sasa na hutokea pale ninapotumia vinywaji baridi wakati mwingine hunipelekesha hadi kupatwa homa.
Haijaishia kwangu, wanangu pia imekua changamoto sana wakinywa vitu vya baridi...
Members itifaki imezingatiwa . Safar yangu ya leo imekua na changamoto sana nikiwa natokea Dodoma - Dsm.
Maeneo ya mbele kidgo kijiji cha mbande kulikuwa na ajali tukapata njia ya kuzunguka na kufanikiwa kukwepa lile eneo ambalo lilikuwa na msongamano wa magari. Safar yangu niliondoka Dom mida...
Habari za majukumu wanajamvi,
Mbwa wangu wamekua na changamoto ya kupoteza afya ikiambatana kunyonyoka manyoya na kupoteza uwezo wa kuona kufikia hatua hadi anajigonga sehem kwa kutoona.
Kuna baadhi ya watu wamenambia hawa mbwa aina ya GS ukiwalisha dagaa hio ndio athari yake. Swali langu je...
Habari Wakuuu. Hivi karibuni nimeshuhudia magari makubwa kwa madogo yakiwa yamebafirishiwa mfumo wa engine badala ya kutumia diesel/ petrol na kifungiwa mtungi/mitungi ya gas. Swali langu naomba kujua faida na hasara zake na ushauri kwa ujumla. Ili panapo majaaliwa na mm nikishawishika...
Habari wana jukwaa. Ninahitaji kiwanja cha makazi DSM eneo laweza kuwa kuanzia Kimara hadi Standi mpya ya Maili Moja Kibaha umbali kutoka Barabara ya Morogoro usizidi kilometer moja.
Habarini za majukumu wanajamii, kupitia hii habari ya Rais wa Rwanda kaumua kuyafungia huduma zaidi ya makanisa 6000 , hii ni kutokana na kuongezeka kwa watu wanaojificha katika dini mbalimbali kwa ajili ya kujipatia kipato.
Kitu ambacho kinazidi kushika kasi katika nchi zetu. Nini zaidi...
Habari za kutwa Wazee wa jukwaa. Ninaomba kwa anaye faham shule nzuri ya kiislam kwa mtoto wa kike. Mwanangu anategemea kuanza darasa la kwanza mwakani panapo majaaliwa.
Nimefikiria swala la kumpeleka boarding school kwa shule za Kiislam ili akapate elim dunia na akhera. Napendelea sana eneo...
Habari wana jukwaa. Nasikitika kutangaza kifo cha member mwenzetu kwa jina Ramaa Tech. Kijana aliyekuwa anajishughulisha na mambo ya graphics designing amefarika jana kwa ajali ya pikipiki.
Niliongea nae saa 15:00 saa 18 napata taarifa kuwa amefariki kijana alikua anajituma sana katika shughuli...
Itifaki imezingatiwa,
Nisiwachoshe, niende moja kwa moja kwenye mada. Rafiki yangu wa karibu amekua mzito wa kuoa kwa madai kwamba alishajiwekea dhamira ya kuoa bikra, huu ni mwaka wa 5 bado anatafuta alianzia Mwanza, kaenda tanga na sasa yupo Zanzibar.
Mwaka jana alinitambulisha mchumba wake...
Habari za uzima wadau. Yapata mwaka mmoja tokea nimesafiri na kua mbali na familia yangu. Mara nyingi tumekuwa tukiwasiliana na mke wangu kwa njia ya video call. Mwanangu amekuwa akipenda sana kuniona kupitia video call kila ninapoongea na mama na yeye analilia.
Point ya msingi mwanangu...
Habari wana jamvi, jamaa amekua na mvutano wa muda mrefu na jiran yake juu ya mipaka yao ya viwanja. Kutokana na mvutano huo jamaa kaamua kujenga fensi mwisho wa kiwanja chake. Je ni sahihi kwa maamuzi haya kama inavyoonekana katika picha hizi?
Habari wakuu.
Kwa upande wangu kila siku zinavyozidi kwenda mbele mambo yanazidi kua magumu, changamoto za kimaisha zinaongezeka, biashara haziendi, pesa haikamatiki. Ninachokipata kwa sasa hata kodi ya meza imekua shida.
Siku zingine najifanya nimesahau pesa ya matumizi nyumbani, nakuwa sina...
Habarini wakuu,
Mimi ni miongoni mwa wajasiliamali wadogo wadogo. Kazi za kijungu jiko. Leo imetokea mdada wangu wa kazi akiwa kwenye kijistationary chetu. Alikuja kijana akijifanya anahitaji huduma ya passport size.
Alivyomaliza kumpiga picha akamwambia anahitaji na karatasi plain paper idadi...
Kuendelea kukua kwa teknolojia kumeleta chachu na kupunguza baadhi za adha tulizokuwa tunazipata enzi hizo ilikuwa ikifika mwisho wa mwezi kwenye ATM mashine unakuta kumefurika watu balaa.
Kwa sasa kuna mawakala wengi mtaani kwa kweli wametuepusha na mengi japo nao wana changamoto zake...
Habarini za asubuh wakuu.
Tukumbuke nyuma kidogo. Nakumbuka mara yangu ya kwanza kumiliki simu ilikua mwaka 1999 nilikua mwanza nikiwa kwenye daladala mara pap naona simu kwenye siti tulivyofika nyakato nikawa wa mwisho kushuka jasho linanitoka balaa. Nikawaza kuitangaza nikaona itakua halali...
Habarini wakuu nimekuwa nikisikia kuwa kila palipo na maendeleo kwa maana ya kimaisha lazima kuna nguvu kubwa ya mwanamke katika mafanikio yako imechangia kwa namna moja au nyingine.
Swali langu: Mwanamke anayezungumziwa hapa ni mke, mama mzazi au nani hasa?
Habar za jioni wakuu.
Nina mdogo wangu amehitimu darasa la saba mwaka huu shule msingi iliyopo Wilaya ya Kahama na amefaulu.
Malengo yangu nataka kumuombea uhamisho ili aje asome Dar es salaam. Maana najua selection zitakapokuwa zimetoka hawezi kuchaguliwa shule za mbali kutokana na ongezeko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.