pangakali 2
JF-Expert Member
- Aug 9, 2019
- 238
- 220
Itifaki imezingatiwa,
Nisiwachoshe, niende moja kwa moja kwenye mada. Rafiki yangu wa karibu amekua mzito wa kuoa kwa madai kwamba alishajiwekea dhamira ya kuoa bikra, huu ni mwaka wa 5 bado anatafuta alianzia Mwanza, kaenda tanga na sasa yupo Zanzibar.
Mwaka jana alinitambulisha mchumba wake kwamba anashukuru ndoto zake zimetimia kwani amempata aliyekuwa anamtafuta kwa muda mrefu. Nikampa hongera na kumshauri ni bora atembee nae kama ni bikra bora aishuhudie mwenyewe asije uziwa mbuzi kwenye gunia ni binti mzuri kwa muonekano akiwa na umri wa miaka 27.
Cha ajabu binti hataki kabisa habari hizo anataka waje wafanye hio shughuli siku ya fungate. Jamaa naye ameanza kustuka na kuwa na waswasi na bint ilikua akalipe mahali wiki iliyopita naona kaghairi. Ushauri kwake tafadhari ninaamini nitapata mawazo mazuri ambayo yatamfanya jamaa angu asije kujutia maisha yake ya baadae.
Nisiwachoshe, niende moja kwa moja kwenye mada. Rafiki yangu wa karibu amekua mzito wa kuoa kwa madai kwamba alishajiwekea dhamira ya kuoa bikra, huu ni mwaka wa 5 bado anatafuta alianzia Mwanza, kaenda tanga na sasa yupo Zanzibar.
Mwaka jana alinitambulisha mchumba wake kwamba anashukuru ndoto zake zimetimia kwani amempata aliyekuwa anamtafuta kwa muda mrefu. Nikampa hongera na kumshauri ni bora atembee nae kama ni bikra bora aishuhudie mwenyewe asije uziwa mbuzi kwenye gunia ni binti mzuri kwa muonekano akiwa na umri wa miaka 27.
Cha ajabu binti hataki kabisa habari hizo anataka waje wafanye hio shughuli siku ya fungate. Jamaa naye ameanza kustuka na kuwa na waswasi na bint ilikua akalipe mahali wiki iliyopita naona kaghairi. Ushauri kwake tafadhari ninaamini nitapata mawazo mazuri ambayo yatamfanya jamaa angu asije kujutia maisha yake ya baadae.