pangakali 2
JF-Expert Member
- Aug 9, 2019
- 238
- 220
Kuendelea kukua kwa teknolojia kumeleta chachu na kupunguza baadhi za adha tulizokuwa tunazipata enzi hizo ilikuwa ikifika mwisho wa mwezi kwenye ATM mashine unakuta kumefurika watu balaa.
Kwa sasa kuna mawakala wengi mtaani kwa kweli wametuepusha na mengi japo nao wana changamoto zake.
Swali la msingi. Je, Kuna tofauti gani kwa maana ya MAKATO ya huduma kati ya anayetolea pesa dirishani , ATM na kwa mawakala?
Kwa sasa kuna mawakala wengi mtaani kwa kweli wametuepusha na mengi japo nao wana changamoto zake.
Swali la msingi. Je, Kuna tofauti gani kwa maana ya MAKATO ya huduma kati ya anayetolea pesa dirishani , ATM na kwa mawakala?