Nini athari za kuongea na 'video call' kwa mtoto mdogo?

pangakali 2

JF-Expert Member
Aug 9, 2019
238
220
Habari za uzima wadau. Yapata mwaka mmoja tokea nimesafiri na kua mbali na familia yangu. Mara nyingi tumekuwa tukiwasiliana na mke wangu kwa njia ya video call. Mwanangu amekuwa akipenda sana kuniona kupitia video call kila ninapoongea na mama na yeye analilia.

Point ya msingi mwanangu ameathirika sana kiasi kwamba bila kuongea/kuchezea sim kupitia video call hasinzii analia hadi basi.

Je, nini madhara yake au nn ushauri wako kwangu?
 
Habari za uzima wadau. Yapata mwaka mmoja tokea nimesafiri na kua mbali na familia yangu. Mara nyingi tumekuwa tukiwasiliana na mke wangu kwa njia ya video call. Mwanangu amekuwa akipenda sana kuniona kupitia video call kila ninapoongea na mama na yeye analilia.

Point ya msingi mwanangu ameathirika sana kiasi kwamba bila kuongea/kuchezea sim kupitia video call hasinzii analia hadi basi.

Je, nini madhara yake au nn ushauri wako kwangu?
Ikitokea umerudi na uko na familia yako na bado mtoto akadai kukuona kupitia video call, basi hapo kuna tatizo, ila kwa umbali uliopo, anataka akuone. Pengine anachukulia kama tv, video, inampa raha fulani.
 
Mambo ya utoto tu.
Mimi wangu anapenda kurekodi voice.
Na anapenda kuongea na mtu mmoja tu
 
Habari za uzima wadau. Yapata mwaka mmoja tokea nimesafiri na kua mbali na familia yangu. Mara nyingi tumekuwa tukiwasiliana na mke wangu kwa njia ya video call. Mwanangu amekuwa akipenda sana kuniona kupitia video call kila ninapoongea na mama na yeye analilia.

Point ya msingi mwanangu ameathirika sana kiasi kwamba bila kuongea/kuchezea sim kupitia video call hasinzii analia hadi basi.

Je, nini madhara yake au nn ushauri wako kwangu?
Mimi niko na situation km yako ila sipigi sana simu hasa za video call maana nikutamanishana tu. Wife sawa kwa audio tu tunaongea mambo za muhimu of course.
Sema kwa case yako madhara ya exposure ya miale ya simu km simu ikiwekwa karibu sana nadhani sio poa kwa mtoto ambae ni delicate. Ndio maana naleta noma wife kumpa mtoto wa mwaka mmoja simu aangalie katuni. Better aangalie from Tv ambayo iko distant.
Wakati unatafta madhara kwa wataalam hapa ushauri wa fasta fasta mwambie wife aiweke simu kwa umbali kidogo asimsogezee sana mtoto. Ikiwezekana tumia zaidi Skype kwenye computer au piga call kupitia computer kutumia application yoyote maana kwenye computer image yako inatokea kubwa hivo mtoto hata akikaa mbali kiasi atakuona vizuri.
 
Mimi niko na situation km yako ila sipigi sana simu hasa za video call maana nikutamanishana tu. Wife sawa kwa audio tu tunaongea mambo za muhimu of course.
Sema kwa case yako madhara ya exposure ya miale ya simu km simu ikiwekwa karibu sana nadhani sio poa kwa mtoto ambae ni delicate. Ndio maana naleta noma wife kumpa mtoto wa mwaka mmoja simu aangalie katuni. Better aangalie from Tv ambayo iko distant.
Wakati unatafta madhara kwa wataalam hapa ushauri wa fasta fasta mwambie wife aiweke simu kwa umbali kidogo asimsogezee sana mtoto. Ikiwezekana tumia zaidi Skype kwenye computer au piga call kupitia computer kutumia application yoyote maana kwenye computer image yako inatokea kubwa hivo mtoto hata akikaa mbali kiasi atakuona vizuri.
Duh. Bonge la ushauri kaka swala la kutamanishana mwenyewe lina nigharim sana furu kujichafua. Tuliopo mbali na familia kwa kweli tunapata sana shida
 
Ikitokea umerudi na uko na familia yako na bado mtoto akadai kukuona kupitia video call, basi hapo kuna tatizo, ila kwa umbali uliopo, anataka akuone. Pengine anachukulia kama tv, video, inampa raha fulani.
Ahahahahahaa. Kama katuni maana watoto siku hizi wanapenda sana katuni sijui hata wanaelewa nn
 
  • Thanks
Reactions: Auz

Similar Discussions

Back
Top Bottom