Hii klabu ya Simba tangu zamani imeundwa kwa mifumo ya kishirikina shirikina, jana walitakiwa wafunge goli 3-0, nikiwa na maana ya yanga leo naye kushinda bao 4-0.
Tatizo linaanza mchezo wa jana mipira miwili tu ndio ilihusika na kwa mara ya kwanza kwenye historia nimeona maajabu ya mpira...
Kuna kipa atamaliza mzunguko wa kwanza bila kuruhusu goli, pia kuna timu haitapoteza mchezo wowote ndani ya mzunguko huo
Na ndio hiyo itakayobeba kombe
Msiniulize ni timu gani.
Vile vianduje hakika wanafiti kila angle na mojawapo ni zile nyimbo zilizopo kwenye series zao hasa za love story.
Naomba tuweke hapa nzuri ili nipate kuziweka kwa playlist yangu.
Makolo tangu mechi ya kigoma na yanga hawawezi kushinda mpaka refa afanye mazingira ya kuwatoa wapinzani kwenye mchezo kwa kutoa kadi nyekundu, Makolo hawaamini kama timu yao Haina ubora tena wamebaki ni watu wa malalamiko.
Niwambie tu enyi makolokolo a.k.a mbumbumbu fc kuwa kama Dodma FC...
Kama yanga tunataka ubingwa basi inatakiwa watafutwe mbadala wao, hawa wachezaji wametugalimu sana msimu uliopita kwa kutojituma na kukosa kontro .
Kupitia mechi ya Leo dhidi ya kagera sugar wachezaji hao ukimtoa adeyumu walitaka kurudia makosa ambayo yalipelekea kuzidiwa kimbinu na Kagera...
Chonde chonde viongozi wangu hasa GSM itilieni mkazo mechi hii na msipoanglia kwa umakini inaweza ikawa chanzo cha nyie kuondoka Yanga.
Atleast yanga hiii inatakiwa kufika group stage caf champions leage.
Kiufupi ule ubabe wa Yanga aka uto in dhahiri umerejea. Naona wengi sasa wanasimba tunawabeza lakini ukweli tusipoangalia hawa jamaa wanakuja kuchukua mafanikio yetu.
Kumbuka tuna wachezaji umri umewatupa kama John Boco, Onyango wakipata injury tu basi tumekwisha msimu ujao.
Kwanza nitoe pole kwa serikali hii ya awamu ya tano kwa kuendesha mchakato huo wa kuwaandikisha na kutoa vitambulisho, kwani waliufanya kwa kukurupuka Sana. Kuna mikoa kadha Kama Kigoma, Katavi, Tabora na Kagera mchakato umefanyika hovyo hovyo na kwa uharaka mno, wakati ilitakiwa mikoa hii iwe...
Miongoni mwa sababu alizotoa ni kushamiri kwa vitendo vya kihalifu, vikihusisha ukabaji na wizi wa siraha.
Sababu nyingine ni kutokana na wakimbizi hao kuwaleta na wenzao ambao hawakupewa uraia Hapo awali .
Kwa mtazamo Wangu rais amefanya Jambo jema Sana kwani Hawa ndugu zetu wamekuwa siyo...
Habarini wote humu jamvini
Nafanya kazi katika kampuni moja happy mjini(sitaitaja jina). Nimekuwa na tatizo la kulala toka saa 5 za usiku mpaka saa3,Hali inayonipelekea kuchelewa kazini mara kwa mara.
Naombeni ushauri ni dawa gani ya kuzuia usingizi au ni hiki kitambi changu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.