Wakuu Habari?
Katika Harakati za Kuongeza kipato Huu ni mwaka wa pili sasa Nimeingia kwenye kilimo Cha mahindi huku Ukanda wa Kusini mwa Tanzania.
Lakini Kuna Jambo Naliona Zao hili lina Ukiritimba mwingi hasa kwenye Bei Nafikiri ndo maana Wakulima wengi wa Mahindi ni masikini Maan unalima...
Habari wakuu!
Kuna zaidi ya channels 100 karibia katika kila King'amuzi
Kwangu mimi mtumiaji wa DStv japo tunakosa uhondo wa channel za nyumbani lakini moja kati ya channel zangu Bora ni Maisha Magic East & Maisha Magic Bongo. Ukiondoa na chanel za michezo, basi utanikuta kwenye channel za...
Kwa wale wapenzi wa kuskiliza radio hivi karibuni Kama utatembelea Mkoa wa Ruvuma hasa mjini Songea Basi unaweza kufurahia uskivu murua wa kituo hiki kipya Cha radio.
kwanza nawapongeza waanzilishi kwa uwekezaji mkubwa uliofanyika wengi tulizoea kukuta radio za mikoani zikiwa na vifaa duni...
Kuna PC yang HP Elitebook ile ya Fingerprint ina muda sijaitumia. Sasa juzi naiwasha inawaka vizuri kabisa tatizo ni keypads mpaka ulong press ndo inakubali yani ukibonya keypad inapiga kimlio flani hivi mpaka ubonyeze bila kuachia ndo herufi ina respond.
Je, yaweza kuwa tatizo window nibadili...
Habari wakuu?
Msaada wenu nimepewa Mac ambayo haijatumika muda mrefu kidg ukiwasha kinakuja kialama cha question mark.
Sasa katika kuchokonoa na kiufahamu changu kidogo nimefika eneo la kuinstall mac ox yosemite sasa inadai Apple ID.
Sasa msaada je naweza log in bila Apple ID? Na nimejaribu...
Jana Nilikuwa na stress sana baada ya kutoka kazini nikaona wazi nahitaji kupumzika kwahiyo sikutaka kupitia popote
Niliipofika zangu home kutokana na hali ya hewa maana kulikuwa na baridi sana sikuweza hata kuoga nikalala na usingizi ukanichukua mapema sana lakini usiku kama saa 4 nilishtuka...
Nafikiria kuelekea nchini Malawi kwa ajili ya kuangalia Fursa mbalimbali za kibiashara
Kwa anayeifahamu vizuri nchi hii anisaidie majibu ya maswali haya
1.Gharama za maisha zipoje mfano Hotel,Chakula
2.Lugha gani kuu
3.Miji gani ni mizuri kutembelea
4.Mila na desturi zipoje hawana ubaguzi na...
Nafikiria kuelekea nchini Malawi kwa ajili ya kuangalia Fursa mbalimbali za kibiashara
Kwa anayeifahamu vizuri nchi hii anisaidie majibu ya maswali haya
1.Gharama za maisha zipoje mfano Hotel,Chakula
2.Lugha gani kuu
3.Miji gani ni mizuri kutembelea
4.Mila na desturi zipoje hawana ubaguzi na...
Habari wakuu
Nimepitia thread mbalimbali kwnye jukwaa hili wengi wanatafuta kazi na ushauri ika ni wengi ambao tunasota kusaka ajira licha ya kuwa na proffesional mbalimbali hivyo basi nami naja mbele yenu kubwa likiwa ni kutafuta kazi
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 26
Nimehitimu...
Wakuu naombeni msaada wa kiufundi au hata ushauri
Desktop yangu ana ya dell haisupport usb yoyote hivyo haikubali mouse wa keyboard sijajua nafanyaje maana nilipeleka kwa fundi kuwekea Ram sasa sijui km imeaharibiwa huko ama lah lakini naombeni msaada kuna uwezekano wa kurejea kama kawaida na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.