NAHITAJI NAME TAG
Natumai ni wazima wa Afya, kwa wagonjwa Allah awape uzima.
Ndugu zanguni nina shida kubwa sana , nahitaji kununua "Name Tag"
Yoyote anaweza kunisaidia wapi nitapata naomba tafadhali.
Ahsanteni.
Habari wana JF. Natumai tuwazima wa Afya na Allah awaponye wangonjwa wote.
Ama kweli leo ndo nimeamini msemo wa "Akili za kuambiwa changanya na zako"
Hivi karibuni viongozi wa CHADEMA wakiongozwa na Lissu waliwataka wananchi waanadame ila kwa moyo wa upendo na amani ya nchi yetu nzuri wananchi...
Habari wakuu.
Natumai mpo salama. Mimi ni kijana msharaha wangu wa mwezi 350,000/= kwa mwezi.
Nina mke na mtoto mmoja ila naona maisha ni magumu mno kipato changu cha mwezi hakinitoshelezi hata kidogo ndani ya wiki mbili tu sina hela tena.
Naomba ushauri nifanye nini kwa kipato hicho angalau...
Mfano umeamka asubuhi pesa uliyobaki nayo ni shs 4,600. Huna pesa nyingine.
Panga BAJETI yako ya chakula kwa siku nzima.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu habari za Weekend.
Mimi ni kijana na nimefikia umri wa kuoa sasa, ila changamoto ni kutaka kumuoa msichana ambae hayumo katika hisia zangu, ila sababu ya yeye ana tabia zote nzuri, lakini mimi tu sijavutiwa sana kwa upande wa sura tu basi.
Na kwa upande wake ananipenda zaidi ya sana na...
Je, una mume au mke, girlfriend ama boyfriend?
Unakumbuka mistari (uliyotumia/ aliyotumia) mwenzio kukuingiza kwenye kumi na nane?
Please share It with us
Mdogo wangu Wanawake bitches sana. Nisamee kwa lugha hio ila nimekwazika. Miak 7 kwenye ndoa and she was OK.
Nimeachishwa kazi juzi juzi tu. Leo Ana mahusiano ya siri na boss wa kampuni ya ulinzi. Tuna watoto 2. What can I do? Hata usipoficha uso wangu.
Nishavurugwa posti tu Mdogo wangu...
"I pray for single mothers. May you learn and understand that you are not worthless simply because you've been deflowered & left with beautiful seedlings.
Those children are gifts, & men such as myself, love to receive those kinds of gifts. ;)
I pray for broken children. Let me be your proof...
1,DAGAA WA BUKOBA
Dagaa hawa wanapatikana masoko mengi, hawa wanakua hawana mchanga kabisa, wanauzwa kg moja elfu nane huwa inashuka had elfu tano, hawa unanunua vifuko unapack unauza mtaani kifuko buku
Kwenye kilo moja unaweza toa vifuko 15 sawa na elfu kumi na tano so elfu mbili vifuko elfu...
Habari na Jamvi natumai ni wazima.
Twende kwenye mada moja kwa moja.
Ni tukio gani hulisahau katika kufanya mapenzi.
Mm binafsi kipindi hicho cha Baleghe nilipata jimama la kugegeda , sasa tupo room akaanza kuninyonya mshededee basi zile raha niliokuwa nazisikia achaa kabisa gafla wazungu hao...
Nilitokea kufamiana na mdada mmoja kwa mazoea tuliyokua nayo tukajikuta tupo ktk mahusiano ya kimapenzi ambayo sio rasmi, lakini sikutaka kua nae kwasabab ana mume, sababu za kua nae ni yeye kunitaka zaidi .
Hivo alikua akijilengesha sana kwangu ila mm nilikua namkimbia kwa sababa tofauti nampa...
Nlikuwa sijawahi sex na demu wa uswahilini.
Nilipata demu anakaa sinza akakubali kuja ntembelea home (nmehamishiwa kimakazi mbezi beach na kampuni) toka sinza akachukua uber mpaka home.
Yule demu ana harakati nyingi sana.kitandani anataka ajishughulishe mpaka mi naboreka.tunagusa gusa tu...
Ni jambo limenishangaza kifupi sina tabia ya kumfuatilia mpenzi wangu iwe kwenye simu au kwenye mambo mengi but hii ilinibidi tuu.
Wakati mpenzi wangu alipokuja kwangu weekend hii na kushinda siku tatu nikajitoa ufahamu ili nisiishi kama fala nikajikuta nikiwa room nikachukua mkoba wake nikawa...
Poleni na majukum ya siku nzima.
nenda katika mada.
Jamani Wafanya biashara ni wachawi sana hii nasema kwa kua imenikuta, tena mara mbili sehemu tofauti.
kunda siku nilinda kununua simu kikawaida nna duka ambalo hua ndo nmezowea kununua simu sasa siku hio nilioyokwenda simu niliyotaka sikupata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.