Jr. Gong Mira
JF-Expert Member
- Dec 14, 2017
- 1,279
- 1,295
Wakuu habari za Weekend.
Mimi ni kijana na nimefikia umri wa kuoa sasa, ila changamoto ni kutaka kumuoa msichana ambae hayumo katika hisia zangu, ila sababu ya yeye ana tabia zote nzuri, lakini mimi tu sijavutiwa sana kwa upande wa sura tu basi.
Na kwa upande wake ananipenda zaidi ya sana na hana tatizo lolote na mimi. Samtime hua najipa moyo labda tukiwa katika ndoa nitampenda. Ushauri naomba, je nimuoe kulingana na sifa na tabia zake nzuri!?
Ahsanteni.
Mimi ni kijana na nimefikia umri wa kuoa sasa, ila changamoto ni kutaka kumuoa msichana ambae hayumo katika hisia zangu, ila sababu ya yeye ana tabia zote nzuri, lakini mimi tu sijavutiwa sana kwa upande wa sura tu basi.
Na kwa upande wake ananipenda zaidi ya sana na hana tatizo lolote na mimi. Samtime hua najipa moyo labda tukiwa katika ndoa nitampenda. Ushauri naomba, je nimuoe kulingana na sifa na tabia zake nzuri!?
Ahsanteni.