Madai ya muda mrefu ya Zitto na wanachama wengine ni wakati muafaka sasa yapatiwe ufumbuzi. Yapo mengi yanayokwenda isivyo ndani ya chama hasa la Kuiwezesha mikoa, wilaya na kanda kifedha
inasemekana haya yalikuwa madai ya Wangwe pia ili kuwa na CHADEMA imara
Uongozi wa kitaifa uyaangalie...
Dr. Slaa ameshawasili uwanja hivi jukwani yupo Silinde silinde; yote yanayofanyika ni kwa ajili ya kupigania haki za wananchi ccm wana macho kakini hawaoni
update
SUGU- Hakuna kitu wanacho kiogopa hawa ccm kama katiba mpya. Awali walidhani Walioba atawasaidia hakuna kitu anasema...
Mbowe yupo Mbeya kukusanya maoni ya katiba mpya. Hivi sasa jukwaani yupo lisu anasema kama Dsm wangefanya japo nusu ya waliyo fanya watu wa MBEYA basi nchi hii ingekuwa mbali sana.
Wakuu kuanzia leo napata messege hii kwenye PC yangu
" Ask for genuine Microsoft Software "
" You may be a victim of software counterfeiting. This copy of windows did not pass genuine windows validation "
Tafadhari naombeni msaana nifanyeje hapa ili nisiwe victim
Asante
MKUTANO WA CCM WAFANA MBEYA LICHA YA KUTAWALIWA NA USHABIKI WA KISIASA SUGU AWATULIZA WAFUASI WAKE WASILETE FUJO KWENYE MKUTANO HUO
Baadhi ya wananchi na wapenzi wa CCM Wilaya ya Mbeya Mjini wakiwa katika mkutao huo uliyofanika katika kiwanja cha kabwe mwanjelwa
Hapa...
Mawe yametoboa vioo vingi
Katika madhabahu,pameharibiwa
Mabenchi yamepinduliwa na kuvunjwa
Mimbari imechomwa na kuharibiwa
Ofisi ya Kanisa imechomwa moto
Wachungaji wa kanisa hili wakisubiria taarifa kutoka polisi
Hawa wanafanya maombi na nimesikia wakiwaombea waislamu mungu...
Wamkamata muuzaji.
Mgombea (Bhaa), walinzi wake na dereva watimua mbio
Jana tarehe 14/9/2012 ikiwa zimebaki siku mbili kabla ya siku ya upigaji kura kwa ajili ya uchaguzi mdogo wa jimbo la Bububu, CCM wanaonekana kutegemea rafu na michezo michafu kama mtaji wa kutafutia ushindi.
Kikosi...
Mimi ni kati ya watu nisiyopenda propaganda za kijinga.Nani anaweza akaamini kuwa CHADEMA walipata watu umati wote huu jana wakati mtu mmoja alikuwa ameshauawa na wengine kujeruhiwa mchana huohuo? tuache kudanganyana hapa,CHADEMA wametengeneza hii picha siyo halisi.kama kweli watu wamejaa hivi...
leo hii tar 15. 07. 2012 kumefanyika chaguzi za serikali za mitaa hapa jiji Mbeya ili kuziba nafasi za wenyeviti na wajumbe walio hamia CHADEMA / Kufariki dunia
jumla kulikuwa na chaguzi 7 serikali za mitaa katika hiyo CHADEMA imechukua 6 na CCM moja (1) tu
mojawapo ni
ILEMI - CHADEMA...
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA) Mbeya Mjini John Mwambigija,
akiongea na waandishi wa habari katika hotel ya mbeya peak
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Diwani Athumani, aliwaambia waandishi wa habari kwamba Mwenyekiti huyo anahitajika polisi kwa ajili ya kutoa...
kila mahali utasikia kuna mgomo kule ama huku na kuna baadhi ya maeneo migomo ya wananchi haiwekwi wazi angalia baadhi migomo hii
kigoma - wananchi wanagoma kupandishiwa ushuru ili hali huduma ni mbovu (RFA jana)
Walimu wanajiandaa kugoma nadhani kesho wanaanza mgomo rasmi
kisa cha...
Reasons why I never visit rich people !!
Question: "What would U like to have... Fruit juice, Soda, Tea, Chocolate, Milo, or Coffee?"
Answer: "tea please "
Question: " Ceylon tea, Herbal tea, Bush tea, Honey bush tea, Ice tea or green tea ?"
Answer : " Ceylon tea.. "
Question : "How...
Msajili wa vyama vya siasa amesema atafanya ukaguzi wa vyama vya siasa hasa vile ambavyo vipo na havifanyi siasa vinasubiri kipindi cha uchaguzi mkuu ndipo hujitutumua
amesema ikiwezekana atavifuta maana haviwasadii Watanzania kutoa elimu ya uraia
source Chanel ten HABARI
my take HONGERA...
Jambo ambalo CCM na CHADEMA kimsingi wanakubaliana ni kuwa Magamba yapo na sharti yavuliwe vyma vyote vinakiri hili suala. Muda wote napata taabu sana kwa nini CCM hawajawavua magamba hawa watu hadi sasa ?
ona wanavyo wabembeleza kwa gharama za T- shirts
Leo ktk uwanja wa Sokoine akiwa anazitua sensa ya watu na makazi pamoja kuwasha mwenge wa uhuru Mh. Waziri mkuu amezunguzia mambo mengi ikiwa ni pamoja na:
kuwataka watu wajiepushe na ugojwa hatari wa ukimwi
watu wajiepushe na matumizi ya madawa ya kulevya
mtazamo wa baraza jipya la mawaziri...
MBUNGE wa viti maalum kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoani Mbeya Dr.Mary Mwanjelwa amekanusha uvumi ulioripotiwa na baadhi ya vyombo vya habari hapa nchini kuwa anatarajia kukihama chama hicho na kujiunga na Chama cha demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).
Alisema taarifa hizo ni uzushi na...
Mchumi wa CCM wilaya ya Mbozi Bi Happiness Kwilabya ajiunga na CHADEMA, akifuatana na wanachama 18 Bi Happiness akikaribishwa jukwaani na viongozi wa chadema
Kwa takribani mwezi mmoja hivi sasa CCM imepoteza zaidi ya wenyeviti wa mitaa wapatao watano, ambao wameamia CHADEMA na mwingine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.