Duble Chris
JF-Expert Member
- May 28, 2011
- 3,481
- 564
naombeni msaada kwa hili tatizo namna ya kulitatua, hili tatizo limejitokeza ghafra, haitambui aina yoyote ya CD
ni kweli mkuu hasa hapo (c) maana mara ya mwisho ilikuwa inanipa option ya kujiresta kisha ikafutika gafra. Naomba ushauri zaidi nifanyeje ili kurectify hili tatizo.Inatokana na mojawapo ya sababu tatu zifuatazo:
(a) Drivers za hiyo optical drive ni mbovu.
(b) Optical drive ni mbovu au Lens inahitaji kusafishwa
(c) ROM BIOS setting imebadirika kwa bahati mbaya na kurekodi kuwa hakuna optical drive.
ni kweli mkuu hasa hapo (c) maana mara ya mwisho ilikuwa inanipa option ya kujiresta kisha ikafutika gafra. Naomba ushauri zaidi nifanyeje ili kurectify hili tatizo.