Ufike wakati wakristo tuseme basi! I am sure tutapigana vita vya akili wakati wao watapigana vita vya mabavu maana wengi hawajaenda shule ni wavuta bangi tu mitaani humo ndiyo maana wanapata muda mchafu wa kufanya haya. For sure tutashinda. We better revenge.
ITV wamekuwa wanafiki taarifa ya mbagala walionesha sa mbili jana nikasubilia taarifa ya sa 5 hawakuonesha kitu
leo nikaamika asubuhi kuangalia ITV hakuna kitu kilichotangazwa yaani unaweza fikiri hakuna kilichotokea
Nahisi usalama did something kwa ITV na vyombo vingine
Mungu gani anapiganiwa kiasi hicho?? sisi wakiristo tunaamini mungu wetu ana nguvu na yeye ndio anatoa hukumu.wenzetu wanatumia kichwa kufugia nywele?? hizi ni akili au matope? washindwe kwa jina la YESU na walegee kabisa.
Hizo divai na ekaristi takatifu walikunywa na kula? kwa akili zao wamewakomoa wakiristo au mwenyezi MUNGU??
kwa mtindo huu,mahakama ya kadhi itakuwa vurugu tupu.Nyerere alijitahidi kutaifisha shule ili hawa jamaa wasome lakini bado hawajaelemika bora angewaacha na madrasa na elimu ahera yao.
Hebu kila mmoja atafakari kwa kipekee uharibifu huu alioufanya amepata faida gani.
Ni MUNGU yupi wanayemwabudu anayehitaji mahangaiko kwa watu wengine katika kumwabudu.
Ni MUNGU yupi mnayemwabudu aliyewaambia kulipa kisasi ndo njia sahihi ya kumwabudu?
Ni MUNGU yupi aliyewapa mamlaka ya kuhukumu kwa niaba yake?
Ni MUNGU yupi mnayemwamini na kumwabudu kuwa nyie mu wasafi hata kuhukumu wengine na nyie hamfanyi makosa?
Ni VITABU gani na mafundisho ya nani aliyewaambia kuharibu madhabahu ya wengine wanaomwomba MUNGU huyo huyo mnayemwabudu nyie kwa imani yenu mtabaki salama na imani yenu?
Maswali yanaweza kuwa mengi sana lakini wajitafakari kila mmoja alipo kwa upekee wake na amwombe MUNGU ili apate msamaha. Na huyo aliyehamasisha hayo yakatokea hakika hakika hayuko salama.
TUMWOMBEE WOTE KWA UJUMLA WETU MUNGU APATE KUMSAMEHE.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.