Duble Chris
JF-Expert Member
- May 28, 2011
- 3,481
- 564
kila mahali utasikia kuna mgomo kule ama huku na kuna baadhi ya maeneo migomo ya wananchi haiwekwi wazi angalia baadhi migomo hii
Je, tutafika salama kwa mwendo huu na nini kifanyike?
- kigoma - wananchi wanagoma kupandishiwa ushuru ili hali huduma ni mbovu (RFA jana)
- Walimu wanajiandaa kugoma nadhani kesho wanaanza mgomo rasmi
- kisa cha madaktari kinajulikana
- Ndaga, Mbeya mgomo wa kupinga ongezeko la ushuru hii ilikuwa juzi tu