Duble Chris
JF-Expert Member
- May 28, 2011
- 3,482
- 564
Jambo ambalo CCM na CHADEMA kimsingi wanakubaliana ni kuwa Magamba yapo na sharti yavuliwe vyma vyote vinakiri hili suala. Muda wote napata taabu sana kwa nini CCM hawajawavua magamba hawa watu hadi sasa ?
ona wanavyo wabembeleza kwa gharama za T- shirts