Tatizo la ukosefu wa ajira ni janga ambalo lipo duniani kote, lakini ukubwa wa tatizo hili hutofautiana baina ya nchi moja na nyingine, mathalani nchi ambazo zimeendelea tatizo la ukosefu wa ajira ni dogo sana ukilinganisha na nchi zinazoendelea kama nchi yetu Tanzania. Kinachosababisha kuwepo...
Habari za mchana wadau naomba kujua bei za pikipiki zile ndogo jina lake nahisi kwa kiingereza ni escootor. Je huuzwa bei gani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Samahani sana wakubwa.
Naomba kuuliza kwamba, je nawezaje kuunganisha simu janja (smartphone) na projector? Je ujanja gani nitumie ili niweze kuunganisha simu itumike moja kwa moja kwenye projector.
Samahan sana kwa usumbufu.
Habari ya mchana wakuu. Bila kupoteza Muda Naomba niende moja kwa moja Kwenye hoja, mimi Naomba kusaidiwa link ya kupata video mbalimbali za masomo kama vile video ya kitabu cha Ngoswe, kilio chetu, Takadini na zile za masomo ya sayansi.
Nawatakia mchana mwema wakuu
Habari wakuu, bila kupoteza Muda Naomba niende moja kwa moja Kwenye hoja. Mm natumia simu hizi za Android sasa ni application ipi itaniwezesha kupakua nyimbo YouTube. Mwenye kufahamu naomba anijuze wakuu.
Habari ya Mchana huu wadau. Naomba Niende moja kwa moja Kwenye hoja
Mimi Napenda kujifunza namna ya kuandaa mihuri yaani uchapaji kwa mfano kama vile Kwenye tshet za shule au vikundi mbali mbali.
Kwa wakuu wanaofahamu hii kazi basi Naomba mnisaidie kupata angalau mwanga juu ya hili.
Binafsi nimekutana na mambo mengi sana ambayo yaliniumiza moyo na bahati mbaya walionitendea ni watu wa Karbu Sana na mimi. Nifanyaje ili niweze kuwasamehe na kuwasahau? Msaada tafadhari...
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo la kutojiamini linawakumba watu wengi sana katika nyanja tofauti tofauti katika maisha kwa mfano unaweza kumkuta mtu anaujasiri wa kuongea na kundi kubwa la watu na hata wakati mwingine anawachekesha kundi zima na huku mtu mwingine ukimwambia aongee na hilo hilo kundi anaweza kujikuta...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.