Kwanini watu wengi wa JF hawajiamini?

Desi P

Senior Member
Jul 31, 2017
150
77
Tatizo la kutojiamini linawakumba watu wengi sana katika nyanja tofauti tofauti katika maisha kwa mfano unaweza kumkuta mtu anaujasiri wa kuongea na kundi kubwa la watu na hata wakati mwingine anawachekesha kundi zima na huku mtu mwingine ukimwambia aongee na hilo hilo kundi anaweza kujikuta kijasho cha kwapani kinaanza kutoka na mapigo ya moyo kwenda kasi na hatimaye mwili mzima kuanza kutetemeka.

Tatizo huwa ni nini wakuu, mwenye uelewa basi naomba anisaidie.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo la kutojiamini linawakumba watu wengi sana katika nyanja tofauti tofauti katika maisha kwa mfano unaweza kumkuta mtu anaujasiri wa kuongea na kundi kubwa la watu na hata wakati mwingine anawachekesha kundi zima na huku mtu mwingine ukimwambia aongee na hilo hilo kundi anaweza kujikuta kijasho cha kwapani kinaanza kutoka na mapigo ya moyo kwenda kasi na hatimaye mwili mzima kuanza kutetemeka.

Tatizo huwa ni nini wakuu, mwenye uelewa basi naomba anisaidie.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mnafiki anajulikana tu wala hajifichi.

Kama ikiwa mleta mada unajiamini kwa nini usitumie avatar halisi na username halisi?

Kitendo cha kutumia fake ID ni ushahidi tosha kwamba hata na wewe haujiamini.

Ushauri: Siku zote jifunze kwanza kutoa kibanzi chako kabla haujatoa kibanzi cha mwenzako.
 
Kabla ya kukushauri embu fafanua kidogo. Kwanza umejuaje kama ni watu wengi ndiyo hawajiamini? hiyo tafiti umeifanya wapi na kwa sample size gani?
Unajua watu wengi Sana wameshindwa kuchukua au kufanya maamuzi ya msingi juu ya maisha yao kutokana na uoga uliojengeka ndani yao. Utakuta wanajiuliza je mimi kweli Nitaweza kufanya Jambo hili na likafanikiwa mara nyingi wanajipa majibu wao wenyewe ya kwamba hawawezi na wanaacha kufanya hilo jambo...na akilifanya mtu mwingine Jambo lile lile utasikia tena wanasemaje kumbe ilikuwa rahisi tu. Mimi ndo Naomba nifahamishwe kitu gani husababisha Hiyo hali?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo la kutojiamini linawakumba watu wengi sana katika nyanja tofauti tofauti katika maisha kwa mfano unaweza kumkuta mtu anaujasiri wa kuongea na kundi kubwa la watu na hata wakati mwingine anawachekesha kundi zima na huku mtu mwingine ukimwambia aongee na hilo hilo kundi anaweza kujikuta kijasho cha kwapani kinaanza kutoka na mapigo ya moyo kwenda kasi na hatimaye mwili mzima kuanza kutetemeka.

Tatizo huwa ni nini wakuu, mwenye uelewa basi naomba anisaidie.

Sent using Jamii Forums mobile app
Heading/subject ni tofauti kabsa na content

Kajipange urudi
 
Mnafiki anajulikana tu wala hajifichi.

Kama ikiwa mleta mada unajiamini kwa nini usitumie avatar halisi na username halisi?

Kitendo cha kutumia fake ID ni ushahidi tosha kwamba hata na wewe haujiamini.

Ushauri: Siku zote jifunze kwanza kutoa kibanzi chako kabla haujatoa kibanzi cha mwenzako.
Avatar kweli siyo yangu Ila username ni langu mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unajua watu wengi Sana wameshindwa kuchukua au kufanya maamuzi ya msingi juu ya maisha yao kutokana na uoga uliojengeka ndani yao. Utakuta wanajiuliza je mimi kweli Nitaweza kufanya Jambo hili na likafanikiwa mara nyingi wanajipa majibu wao wenyewe ya kwamba hawawezi na wanaacha kufanya hilo jambo...na akilifanya mtu mwingine Jambo lile lile utasikia tena wanasemaje kumbe ilikuwa rahisi tu. Mimi ndo Naomba nifahamishwe kitu gani husababisha Hiyo hali?

Sent using Jamii Forums mobile app
Watoto wa Darslaam wanasema UNA MBWELA MBWELA
 
Mazoea, mara nyingi watu waliokulia kwenye familia kubwa wana confo balaa ukilinganisha na wale waliozaliwa peke yao ama wachache
 
Tatizo la kutojiamini linawakumba watu wengi sana katika nyanja tofauti tofauti katika maisha kwa mfano unaweza kumkuta mtu anaujasiri wa kuongea na kundi kubwa la watu na hata wakati mwingine anawachekesha kundi zima na huku mtu mwingine ukimwambia aongee na hilo hilo kundi anaweza kujikuta kijasho cha kwapani kinaanza kutoka na mapigo ya moyo kwenda kasi na hatimaye mwili mzima kuanza kutetemeka.

Tatizo huwa ni nini wakuu, mwenye uelewa basi naomba anisaidie.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata huweleweki, sasa JF imeingiaje hapo? au unamaanisha wewe mwenyewe kuja na ID feki pasipo kutumia jina halisi? Ukijibu nitarudi kuchangia.
 
Mnafiki anajulikana tu wala hajifichi.

Kama ikiwa mleta mada unajiamini kwa nini usitumie avatar halisi na username halisi?

Kitendo cha kutumia fake ID ni ushahidi tosha kwamba hata na wewe haujiamini.

Ushauri: Siku zote jifunze kwanza kutoa kibanzi chako kabla haujatoa kibanzi cha mwenzako.
Hapo chacha!
 
Hata huweleweki, sasa JF imeingiaje hapo? au unamaanisha wewe mwenyewe kuja na ID feki pasipo kutumia jina halisi? Ukijibu nitarudi kuchangia.
Heading original siyo hiyo ndo maana Maelezo yanakinzana na heading... Heading original iko hivi... KWANINI WATU WENGI HAWAJIAMINI... Naona Mods wameibadilisha wakaiweka kama inavyosomeka hapo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mnafiki anajulikana tu wala hajifichi.

Kama ikiwa mleta mada unajiamini kwa nini usitumie avatar halisi na username halisi?

Kitendo cha kutumia fake ID ni ushahidi tosha kwamba hata na wewe haujiamini.

Ushauri: Siku zote jifunze kwanza kutoa kibanzi chako kabla haujatoa kibanzi cha mwenzako.
Kumbe na wewe ID yako original, basi sawa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1.Mtu kujiona duni mwenyewe.
2.Kutojichanganya kwenye nafasi za uongozi
3.Kutojichanganya na watu wenye mawazo makini
 
Back
Top Bottom