Wakuu nilikuwa naulizia battery ya hiyo Dell inspiron 17 3737 inapitikana kwa bei gani?
Na wapi naweza kupata.
Niko Dar.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu jamaa alikuwa ni bonge sio sana sema ana mwili wa kibabe fulani.Alitamba sana miaka ya 2000s
Nakumbuka alishawahi kuwa ngoma inazungumzia kuwa anawapenda mademu wasiopenda chapaa na kitu kinachonifanya niikumbuke ile video ndani kulikuwa na muigiza wa kike enzi hizo:Sandra
Sasa ningependa...
(CNN)Rapper and singer Juice WRLD has died in Chicago, the Cook County Medical Examiner's Office said Sunday.
Juice, who was born Jarad Anthony Higgins, turned 21 on December 2.
The rapper suffered a medical emergency shortly after arriving at Chicago's Midway International Airport, according...
[Verse 1]
What I fit do to get your love
Girl I don give you all I got but it’s not enough for you
Shey u fire me catapult of love
Na why be say I no fit get enough of you
[Hook/Chorus]
Wetin be that
Nothing I can’t do
For ma baby
Ma bebe
Anytime wey you need me come through
Mo ma sare
Ma...
Unaweza kuta ameacha mboga jikoni akaenda kuoga, kusalimia majirani, au kuchezea simu na akirudi mboga haijaungua.
Au muda mwengine unamkuta kajifunga kanga tu lakini hata afanyaje hauwezi anguka, anaweza akakimbia nayo, akalima nayo ila haianguki, na ikianguka basi kaamua, naomba tueleweshane...
kuna mdogo wangu kaniomba kama 2mil anataka kwenda msumbiji kununua simu azilete bongo.Eti inawezekana kweli kuwa msumbiji vitu ni bei rahisi kwasababu masimu anayonitajia mpaka nakoma au anataka kunitapeli?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.